Na Mwandishi wa OTR
MSAJILI wa Hazina, Bw. Nehemiah Mchechu, ametaka kufanyika kwa mageuzi makubwa katika Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC) ili kujenga taasisi yenye ufanisi zaidi, kuongeza tija na mapato, na kuimarisha ushindani wake katika soko la kisasa la habari na utangazaji.
Wito huo ulitolewa...
Na Mwandishi Wetu
BENKI ya CRDB imezindua rasmi huduma ya mkopo ya Ughaibuni yenye lengo la kuwawezesha Watanzania waliopata ajira nje ya nchi kugharamia maandalizi muhimu ya safari na hatimaye kufikia ajira walizopata.
Huduma hiyo imezinduliwa Leo Agosti 27, 2026 jijini Dar es Salaam kwa...