Na Mwandishi Wetu
Timu ya Pamba Jiji chini ya Kocha Felix Minziro (Majeshi, Baba Isaya) imeendelea kujinasua katika nafasi za chini baada ya leo Februari 15, 2025 kuichapa Coastal Union mabao 2-0 katika mchezo wa Ligi Kuu Bara uliopigwa dimba la CCM Kirumba, Mwanza.
Matokeo hayo...