📌Awamu ya kwanza ya upanuzi wa Kituo Megawati 45 yakamilika
📌Asema wananchi wa Mbagala na Temeke watapata umeme wa uhakika
📌Awataka wananchi wa Mbagala kuendelea kuwa wavumilivu wakati wa utekelezaji wa Mradi
Na Mwandishi Wetu
MKURUGENZI Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), Lazaro Twange amesema...
Na Mwandishi Wetu
Rais Samia Suluhu Hassan ameongoza mazishi ya aliyekuwa Makamu wa Kwanza wa Rais na Waziri Mkuu wa Tanzania, Hayati Cleopa Msuya na kusisitiza kuendelea kuenzi na kujifunza kwa yale aliyoyafanya kipindi cha uhai wake.
Ameyasema hayo leo Mei 13,2025 katika ibada ya mazishi...