KUNA kitu kinaitwa ‘shamba darasa’. Hili ni shamba ambalo huandaliwa na kuendeshwa kwa nia ya kutoa mafunzo kwa vitendo kwa wakulima. Aghalabu, shamba hili husimamiwa na wataalam wa kilimo almaarufu kama maofisa ugani. Shamba hili huwapa wakulima fursa ya kujifunza kwa kuona njia za...
Na Winfrida Mtoi
Tume ya Rais ya Maboresho ya Kodi nchini, imesema tayari imeanza kazi rasmi, hivyo kutoa wito kwa wananchi kutoa maoni ya kile wanachohotaji kifanyiwe maboresho katika mfumo wa ulipaji na ukusanyaji kodi.
Akizungumza leo Oktoba, 22 2024 Ikulu jijini Dar es Salaam,...