Na Mwandishi Wetu
OFISI ya Msajili wa Hazina imetangaza siku ya Gawio 2026 itafanyika Juni 30, 2026 katika Ikulu ya Dar es Salaam, huku Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, akitarajiwa kuwa mgeni rasmi.
Tukio hilo limeelezwa kuwa la...