Na Winfrida Mtoi
BEKI wa timu ya Taifa (Taifa Stars), Nickson Kibabage amesema kitendo cha vijana wa timu ya Serengeti Boys kufika fainali ya AFCON - U17 na kiwango walichoonesha ni fursa ya kwenda kucheza soka la kulipwa katika mataifa makubwa.
Serengeti Boys inatarajia kushuka dimbani...
Na Winfrida Mtoi
Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars), imeanza mazoezi kujiandaa na michezo miwili ya Kalenda ya FIFA dhidi ya Uganda na Rwanda, ambapo kipa wa kikosi hicho Aishi Manula amesema haitakuwa rahisi.
Akizungumza na waandishi wa habari leo Juni 1, 2026 katika viwanja...