Aishi Manula afunguka ugumu wa kuikabili Uganda

Na Winfrida Mtoi

Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars), imeanza mazoezi kujiandaa na michezo miwili ya Kalenda ya FIFA dhidi ya Uganda na Rwanda, ambapo  kipa wa kikosi hicho Aishi Manula  amesema haitakuwa rahisi.

Akizungumza na waandishi wa habari leo Juni 1, 2026 katika viwanja vya Gymkhana jijini Dar es Salaam wanapofanyika mazoezi, Manula amesema  timu hizi zina upinzani mkubwa zinapokutana kutokana na ujirani.

Amebainisha kuwa  michezo inayokutanisha timu za ukanda mmoja huwa  hazitabiriki kwa sababu hakuna timu inayokubali unyonge mbele ya jirani yake, hali inayoongeza presha na uzito wa michezo hiyo.

​”Nadhani ujirani tulionao ndio utakaosababisha mechi ziwe ngumu zaidi kwa sababu kila mmoja anahitaji kupata ushindi ili kuendelea kujiona yuko kwenye nafasi bora zaidi ya mwenzake,”  amesema.

​Taifa Stars itavaana na Uganda  Juni 5, kisha Rwanda Juni 9, 2026

spot_img

Latest articles

Mchezo wa kuogelea wazidi kupaa nchini, TSA  yafichua siri

Na Winfrida  Mtoi MCHEZO wa kuogelea umezidi kushika kasi nchini  kutokana na kuongezeka idadi ya...

Dkt Nchimbi atembelea banda la Tanesco

Na Mwandishi Wetu MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Balozi...

Waogeleaji chipukizi 400 kutikisa Dar kesho

Na Mwandishi Wetu Zaidi ya waogeleaji 400 wenye umri wa miaka 6 hadi 12 wanatarajiwa...

Wabunge walifuata mkumbo kwenda Morocco kuishangilia Serengeti Boys lawakuta jambo

Na Mwandishi Wetu SPIKA wa Mbunge la Tanzania, Mussa Azzan Zungu ametoa siku nne za...

More like this

Mchezo wa kuogelea wazidi kupaa nchini, TSA  yafichua siri

Na Winfrida  Mtoi MCHEZO wa kuogelea umezidi kushika kasi nchini  kutokana na kuongezeka idadi ya...

Dkt Nchimbi atembelea banda la Tanesco

Na Mwandishi Wetu MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Balozi...

Waogeleaji chipukizi 400 kutikisa Dar kesho

Na Mwandishi Wetu Zaidi ya waogeleaji 400 wenye umri wa miaka 6 hadi 12 wanatarajiwa...