Na Mwandishi Wetu
DROO ya hatua ya robo fainali ya michuano ya Kombe la Shirikisho, imefanyika leo Aprili 17, 2026, jijini Dar es Salaam, ambapo Simba imepangwa dhidi ya TRA United huku Yanga ikipewa JKT Tanzania.Kwa upande wa Azam FC watakuwa wageni, Mashujaa FC katika...
Na Mwandishi Wetu
WAZIRI Mkuu, Dk.Mwigulu Nchemba, amehimiza ufungaji wa kamera nyingi katika viwanja vya michezo, ikiwamo uwanja Arusha ili kudhibiti vitendo vya ushirikina na imani potofu.
Amesema hayo leo Aprili 17, 2026, wakati wa ziara ya kukagua maendeleo ya ujenzi wa miundombinu ya katika uwanja...