📌 Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Mhe.Dkt. Mwigulu Lameck Nchemba (Mb.) aipongeza TANESCO kwa kutekeleza Mradi kwa kutumia wataalamu wa ndani
📌 MD Twange asema mradi wa ujenzi wa kituo cha kupoza umeme umefikia asilimia 82 ya utekelezaji wake
Na Mwandishi Wetu...
Na Mwandishi Wetu
MAMLAKA ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) imewataka wafanyabiashara wanaotegemea maji katika shughuli zao, wakiwemo waosha magari, wafyatua matofali na watunza bustani, kushiriki katika kudhibiti upotevu wa maji na kulinda miundombinu ya huduma hiyo.
Wito huo umetolewa katika...