HomeMichezo

Michezo

Dkt Biteko: Serikali kuendelea kuwekeza katika sekta ya Afya

📌 Dkt. Biteko atambelea Hospitali ya Wilaya ya Meru Na Mwandishi Wetu SERIKALI imeahidi kuendelea kuboresha huduma za Afya nchini katika ngazi zote ili kuboresha huduma za Afya kwa Watanzania. Hayo yamesemwa Aprili, 25, 2025 na Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dkt. Doto Biteko...

THRDC yashauri kuitishwa mkutano wa kitaifa wa maridhiano

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC) umesema kuna umuhimu wa kukaa kwenye muafaka wa kitaifa na kukubaliana mambo ya msingi kabla ya kwenda kwenye Uchaguzi Mkuu wa Oktaba mwaka huu. Mtandano huo umesema siyo afya kuona kuna...
spot_img

Keep exploring

YANGA YAIBAMIZA AZAM, TABORA HALI TETE, COASTAL YAZINDUKIA MKWAKWANI

Na Mwandishi Wetu Yanga imeibuka na ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Azam FC katika...

FADLU ATAKA USHINDI WA MABAO 4 KWA AL MASRY

Na Mwandishi Wetu Kocha Mkuu wa Simba, Fadlu Davids amesema katika mchezo wa kesho wa...

Kiungo fundi Yanga kuikosa Azam

Na Mwandishi Wetu Kiungo wa Yanga Khalid Aucho atakosekana katika mchezo  wa Ligi Kuu Bara...

ALLY KAMWE  AKAMATWA NA POLISI AACHIWA  KWA DHAMANA

Na Mwandishi Wetu Kamanda wa Polisi Mkoa wa Tabora, SACP Richard Abwao amesema Jeshi la...

SIMBA YAIFUATA AL MASRY NA HESABU KALI

Na Winfrida Mtoi Kikosi cha Simba kinatarajia kuondoka Machi 28,2025 kuifuata timu ya Al Masry...

BEKI WA YANGA APANDISHWA CHEO AWA SAJENTI

Na Mwandishi Wetu Kikosi Maalumu cha Kuzuia Magendo Zanzibar (KMKM), kimempandisha cheo mchezaji wetu Ibrahim...

Derby ya wanawake kesho, ubabe ubabe

Na Winfrida Mtoi Simba Queens na Yanga Princess kesho Machi 18,2025 zinashuka dimbani katika mchezo...

Mabingwa Lina PG Tour 2024 kushuka dimbani kesho, michuano ya gofu Dubai

Na Mwandishi Wetu WACHEZAJI watatu bora wa mashindano ya gofu ya Lina PG Tour...

MOTSEPE KUENDELEA KUONGOZA CAF HADI 2029, KARIA MJUMBE

Na Mwandishi Wetu Rais wa Shirikisho la Soka  Afrika (CAF), Patrice Motsepe ataendelea kuliongoza shirikisho...

Lina PG Tour msimu wa pili yaanza kulindima leo, wachezaji 122 wajitokeza kushiriki

Na Mwandishi wetu WACHEZAJI takribani 122 wamejiandikisha kushiriki mashindano ya Lina PG Tour msimu wa...

Serikali, wadau waombwa kusapoti mashindano ya Lina PG Tour

Na Mwandishi wetu SERIKALI wakiwemo wadau mbalimbali wa michezo hasa wa gofu wameombwa kusapoti mashindano...

TWIGA STARS YAITUNGUA EQUATORIAL GUINEA

Na Mwandishi Wetu Timu ya Taifa ya Wanawake, Twiga Stars imeibuka na ushindi wa mabao...

Latest articles

Dkt Biteko: Serikali kuendelea kuwekeza katika sekta ya Afya

📌 Dkt. Biteko atambelea Hospitali ya Wilaya ya Meru Na Mwandishi Wetu SERIKALI imeahidi kuendelea...

THRDC yashauri kuitishwa mkutano wa kitaifa wa maridhiano

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania (THRDC)...

Sh. Bilioni 30 zaidhinishwa kujenga Barabara zilizoathiriwa na mvua

Na Mwandishi Wetu SERIKALI ya Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan imepanga kutumia kiasi cha...

Ewura yazitaka kampuni za gesi kuongeza mawakala, kudhibiti uchakachuaji wa gesi

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam MAMLAKA ya Udhibiti wa Huduma za nishati na...