📌 Kukamilika kwa njia mpya kutatoa fursa kwa njia ya awali kuendelea kunufaisha wananchi wa mkoa wa Geita na kuchochea shughuli za kiuchumi.
📌 Serikali yawekeza takribani Shilingi bilioni 63.19 kuutekeleza
Na Mwandishi Wetu
SERIKALI kupitia Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) inaendelea kuimarisha miundombinu ya umeme...
Na Mwandishi Wetu
SERIKALI imesema iko tayari kufufua na kuboresha skimu ya Umwagiliaji Matipwili iliyopo Kata ya Mkangwe, Wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani.
Hayo yamebainika kufuatia mafunzo ya usimamizi, uendeshaji na matunzo ya miundombinu ya Umwagiliaji yanayotolewa na Tume ya Taifa ya Umwagiliaji, yakilenga...