Gamondi atwaa tuzo

Na Winfrida Mtoi

Kocha Mkuu wa Yanga, Miguel Gamondi amechaguliwa kuwa kocha bora wa Februari na kutwa tuzo ya TFF, akiwashinda kocha wa Simba Abdelhak Benchikha na Ahmad Ally wa Tanzania Prisons.

Gamondi ameibuka kededea kutokana na kuiongoza Yanga katika michezo mitano bila kupoteza, akishinda minne na sare moja.

Michezo iliyompa tuzo kocha huyo ni sare ya 0-0 na Kagera Sugar, amezifunga Dodoma Jiji 1-0, Mashujaa 2-1, Prisons 1-2 na KMC 0-3.

Kipa wa Coastal Union, Ley Matampi

Naye Kipa wa timu ya Coastal Union, Ley Matampi ametwaa tuzo ya Februari ya mchezaji bora wa mwezi baada ya dakika 270 za michezo mitatu bila kuruhush bao.

Kipa huyo amewashinda kiungo wa Yanga Mudathir Yahya na mshambuliaji wa Prisons Samson Mbangula aliongia nao fainali.

Pia kamati ya tuzo hizo imemchagua Meneja wa Uwanja wa Azam Complex, Amir Juma kuwa meneja bora wa mwezi huo.

spot_img

Latest articles

Mandonga ampa jina jipya Kaoneka, King Class na Nasibu Ramadhani moto utawaka

Na Mwandishi Wetu Kuelekea pambano la ngumi la 'Dar Boxing Derby', bondia Karim Mandonga kama...

FCC yawahamasisha wananchi kulinda Afya na Haki zao dhidi ya Bidhaa Bandia

Na Tatu Mohamed TUME ya Ushindani (FCC) imewataka wananchi kuwa mstari wa mbele katika kulinda...

PSPTB yatangaza Mitihani ya 31 ya Kitaaluma, Usajili kufungwa Agosti 15, mwaka huu

Na Tatu Mohamed BODI ya Wataalam wa Ununuzi na Ugavi (PSPTB) imetangaza kuendesha Mitihani ya...

Ewura CCC: Wananchi wadai fidia wanapocheleweshewa kuunganishiwa maji kwa siku saba za kazi

Na Tatu Mohamed BARAZA la Ushauri la Watumiaji wa Huduma za Nishati na Maji...

More like this

Mandonga ampa jina jipya Kaoneka, King Class na Nasibu Ramadhani moto utawaka

Na Mwandishi Wetu Kuelekea pambano la ngumi la 'Dar Boxing Derby', bondia Karim Mandonga kama...

FCC yawahamasisha wananchi kulinda Afya na Haki zao dhidi ya Bidhaa Bandia

Na Tatu Mohamed TUME ya Ushindani (FCC) imewataka wananchi kuwa mstari wa mbele katika kulinda...

PSPTB yatangaza Mitihani ya 31 ya Kitaaluma, Usajili kufungwa Agosti 15, mwaka huu

Na Tatu Mohamed BODI ya Wataalam wa Ununuzi na Ugavi (PSPTB) imetangaza kuendesha Mitihani ya...