Nyota Simba waungana kumuombea Inonga abebe kombe AFCON

Na Winfrida Mtoi

Wachezaji wa Simba wameungana na mchezaji mwenzao Henock Inonga kumuombea aweze kufika fainali ya Kombe la Mataifa Afrika (AFCON) hata kubeba ubingwa wa michuano hiyo inayoendelea nchini Ivory Coast.

Inonga ambaye ni beki wa Simba anaitumikia timu ya Taifa ya DR Congo ambayo keshokutwa Februari 7, 2024 itashuka dimbani kucheza na wenyeweji Ivory Coast katika mchezo wa nusu fainali.

Beki wa Wekundu wa Msimbazi hao, Hussein Kazi ndiye aliyeweka bayana kuwa wachezaji wa Simba wanamuombea mwenzao aweze kufika mbali na kuchukua ubingwa michuano hiyo mikubwa barani Afrika.

“Sisi kama Simba wachezaji kwa ujumla, tunamuombea mwenzetu Inonga mazuri aweze kufika mbali na kuchukua kombe,” amesema Kazi wakati akizungumzia maandalizi kuelekea mechi yao na Tabora United, utakaochezwa kesho Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi, mkoni Tabora.

spot_img

Latest articles

Mhudumu wa mochwari mbaroni kwa tuhuma za kukutwa na viungo vya binadamu

Na Mwandishi Wetu Jeshi la Polisi mkoani Kagera linawashikilia watu wawili akiwamo mhudumu wa mochwari...

Katibu wa fedha UVCCM Dar arudisha fomu ya ridhaa ya ubunge Kawe

Katibu wa Uchumi, Mipango na Fedha UVCCM Mkoa wa Dar es Salaam, Hassan Ali...

Majaliwa  atangaza hagombei tena ubunge Ruangwa

Na Mwandishi Wetu Waziri mkuu na Mbunge wa Jimbo la Ruangwa, Kassim Majaliwa leo Julai...

Vijana, Dira na CCM. Chama pekee chenye Imani na vijanaTangu kuasisiwa

Na Mwandishi Wetu TANGU kuasisiwa kwake tarehe 5 Februari 1977 kwa muungano wa TANU...

More like this

Mhudumu wa mochwari mbaroni kwa tuhuma za kukutwa na viungo vya binadamu

Na Mwandishi Wetu Jeshi la Polisi mkoani Kagera linawashikilia watu wawili akiwamo mhudumu wa mochwari...

Katibu wa fedha UVCCM Dar arudisha fomu ya ridhaa ya ubunge Kawe

Katibu wa Uchumi, Mipango na Fedha UVCCM Mkoa wa Dar es Salaam, Hassan Ali...

Majaliwa  atangaza hagombei tena ubunge Ruangwa

Na Mwandishi Wetu Waziri mkuu na Mbunge wa Jimbo la Ruangwa, Kassim Majaliwa leo Julai...