Dube awanyima raha Simba

Na Mwandishi wetu

Prince Dube ndiye mchezaji anayewakosesha raha mashabiki wa Simba baada ya leo kuendeleza ubabe wake, akipachika bao mapema tu dakika ya 14 kwenye mchezo wa Ligi Kuu Tanzania Bara, Uwanja wa CCM Kirumba, Mwanza.

Dakika za jioni kabisa Cloutus Chama ndipo akaisawazishia Simba na matokeo kuwa 1-1.

Kwa matokeo hayo yanaifanya Yanga kuendelea kuongoza Ligi hiyo ikiwa na pointi 37, ikifuatiwa na Azam alama 32, zikicheza mechi 14 kila mmoja na Simba ikiwa ya tatu na pointi 30 ikicheza michezo 13.

spot_img

Latest articles

Safari ya ‘TLP’ ya Lissu ni ipi?

MWAKA 1992 wakati nchi hii ilipoingia katika mfumo wa vyama vingi vya siasa, kulikuwa...

Karibu 2025, tuyakatae magenge haya sasa

LEO ni siku ya pili katika mwaka mpya wa 2025. Ninawatakia wasomaji wa safu...

Kuubeba uozo wa 2024  kuingia 2025 ni fedheha

NI siku nne tu zimebakia kuupa kisogo mwaka 2024. Mwaka huu ulikuwa na mambo...

Hivi vikosi kazi vimerejea kwa mlango wa nyuma?

KUNA kila dalili kwamba taifa letu kidogokidogo linakumbwa na hali ya kutokuaminiana. Hali hii...

More like this

Safari ya ‘TLP’ ya Lissu ni ipi?

MWAKA 1992 wakati nchi hii ilipoingia katika mfumo wa vyama vingi vya siasa, kulikuwa...

Karibu 2025, tuyakatae magenge haya sasa

LEO ni siku ya pili katika mwaka mpya wa 2025. Ninawatakia wasomaji wa safu...

Kuubeba uozo wa 2024  kuingia 2025 ni fedheha

NI siku nne tu zimebakia kuupa kisogo mwaka 2024. Mwaka huu ulikuwa na mambo...