Na Mwandishi Wetu
BODI ya Bima ya Amana (DIB) imewahakikishia wananchi kuwa fedha wanazoweka kwenye benki zilizosajiliwa nchini zinalindwa kupitia mfumo wa bima ya amana, huku ikiwataka wateja wa benki zilizofilisika ambao bado hawajachukua fedha zao kujitokeza kuzifuatilia.
Akizungumza katika Maonesho ya Kitaifa ya Wakulima...
Na Mwandishi Wetu
MAMLAKA ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) Wilaya ya Ubungo imeanza utekelezaji wa mpango wa kuboresha huduma ya maji katika Mtaa wa Kimara B kwa kulaza bomba lenye uwezo mkubwa zaidi, hatua inayolenga kukidhi mahitaji ya sasa...