Na Mwandishi Wetu
Nyota wa Yanga, Allan Okello amewahakikishia mashabiki wa timu hiyo kuwa watamaliza kila kitu ndani ya dakika 90 katika mchezo wa hatua ya 16 bora ya kombe la shirikisho dhidi ya TMA Stars utakaopigwa kesho kwenye dimba la KMC Complex, jijini Dar...
Na Mwandishi Wetu
KLABU ya Fountain Gate FC imemtangaza Fred Felix Minziro kuwa Kocha Mkuu wa timu hiyo, akichukua nafasi ya Mohamed Laizer ambaye amefutwa kazi kutokana na mwenendo usioridhisha wa timu.Kwa mujibu wa taarifa ya klabu hiyo, Minziro ataongoza benchi la ufundi akisaidiwa na...