Na Mwandishi Wetu
Klabu ya Azam imemuongezea mkataba kocha wake, Florent Ibenge, akiendelea kusalia katika klabu hiyo hadi mwaka 2028.
Kwa mujibu wa taarifa ya klabu hiyo, inaamini maarifa na uzoefu wa kocha huyo ni muhimu katika kufikia malengo yao.


