Wabunge walifuata mkumbo kwenda Morocco kuishangilia Serengeti Boys lawakuta jambo

Na Mwandishi Wetu

SPIKA wa Mbunge la Tanzania, Mussa Azzan Zungu ametoa siku nne za kujieleza kwa wabunge walikwenda Morocco kuishangilia Serengeti Boys bila kibali katika fainali za AFCON -17.

Zungu amesema hayo leo Juni 4, 2026 bungeni Dodoma na kuielekeza Ofisi ya Katibu wa Bunge kuwaandikia barua za kujieleza kwa nini wamevunja kanuni za kibunge za kutoka nje ya nchi bila kuwa na kibali cha ofisi ya Spika.

Amesema wabunge hao wakishindwa kuleta majibu ndani ya siku hizo, watachukuliwa hatua za kinidhamu kulingana na kanuni.

Amebainisha kuwa kumekuwa na utoro usiovumilika bungeni, ambapo baadhi ya wabunge wanaomba vibali wakisema wanakwenda majimboni lakini wanakwenda nje ya nchi.

spot_img

Latest articles

Tunazidi kujisokota kwenye mtego, au tunajinasua?

TAIFA limechafukwa. Kuchafukwa huku ni kutokana na kile ambacho maseneta wawili wa Marekani, Jeanne...

Ibenge aongezewa mkataba Azam FC

Na Mwandishi Wetu Klabu ya Azam imemuongezea mkataba kocha wake, Florent Ibenge, akiendelea kusalia katika...

Mwamuzi Mtanzania kuchezesha Kombe la Dunia

Na Mwandishi Wetu MWAMUZI wa Tanzania wa mpira wa miguu kwa watu wenye ulemavu, Shaban...

Dawasa yatoa elimu Uhifadhi wa maji katika wiki ya mazingira

Na Mwandishi Wetu MAMLAKA ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA)...

More like this

Tunazidi kujisokota kwenye mtego, au tunajinasua?

TAIFA limechafukwa. Kuchafukwa huku ni kutokana na kile ambacho maseneta wawili wa Marekani, Jeanne...

Ibenge aongezewa mkataba Azam FC

Na Mwandishi Wetu Klabu ya Azam imemuongezea mkataba kocha wake, Florent Ibenge, akiendelea kusalia katika...

Mwamuzi Mtanzania kuchezesha Kombe la Dunia

Na Mwandishi Wetu MWAMUZI wa Tanzania wa mpira wa miguu kwa watu wenye ulemavu, Shaban...