📌Watakiwa kutunza vyombo vya usafiri ili kuongeza ufanisi wa huduma
📌TANESCO yanunua vyombo vya usafiri 982 kuimarisha utoaji wa huduma nchini
Madereva wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) wamehimizwa kuwa mstari wa mbele katika kuhakikisha wananchi wanapata huduma bora kwa kutunza vyombo vya usafiri vinavyotumika kuwafikia...