Warning: Array to string conversion in /home/themedia/domains/themediabrains.com/public_html/wp-includes/shortcodes.php on line 434
Array

Familia yaondoa vitu nyumbani kwa Polepole

Na Mwandishi Wetu

FAMILIA ya aliyekuwa Balozi wa Tanzania nchini Cuba, Humphrey Polepole, leo Jumanne, Januari 6, 2026, imefika katika nyumba aliyokuwa akiishi eneo la Ununio jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kukusanya mali zake, pamoja na kufanya maombi kwenye nyumba aliyokuwa akiishi.

Ndugu hao wakiongozwa na mama mzazi wa Humphrey Polepole, Mama Anna Marry Polepole na mdogo wake Godfrey Polepole, wamesema wataendelea kumuombea ndugu yao na kuisihi jamii kuendelea kushirikiana na vyombo husika pale taarifa zozote zitakapopatikana

Akizungumza na waandishi wa habari, Mama wa Polepole ameeleza kuwa wamekwenda kutoa vitu katika nyumba hiyo aliyokuwa amepanda mwanaye kwa sababu hakuna anayeweza kulipa kodi.

Amesisitiza kuwa anaomba waliomchukua mtoto wake wamrudishe akiwa mzima  na ikiwa ana makosa aliyofanya  ashtakiwe kama wengine.

Polepole, ambaye aliwahi kushika nyadhifa mbalimbali serikalini alidaiwa kutekwa na watu wasiojulikana miezi mitatu iliyopita na hadi sasa hatima yake ikiwa bado haijulikani rasmi.

spot_img

Latest articles

Yanga yaikung’uta vibaya Mashujaa FC

Na Winfrida Mtoi WANANCHI Yanga wameichakaza timu ya Mashujaa mabao 6-0, huku nyota mpya wa...

Watumishi wapya wa Ofisi ya Msajili wa Hazina wapigwa msasa

Na Mwandishi Wetu, Pwani OFISI ya Msajili wa Hazina (OMH), kwa kushirikiana na Chuo cha...

Kituo cha kupoza umeme Mtera kuboresha upatikanaji wa Umeme Iringa na Dodoma

Na Mwandishi Wetu SERIKALI kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imezindua Kituo cha Kupoza...

Tanesco Kigamboni yatoa elimu y nishati safi ya kupikia shule ya msingi Malaika

Na Mwandishi Wetu KATIKA kuunga mkono jitihada za Serikali za kuhamasisha matumizi ya nishati...

More like this

Yanga yaikung’uta vibaya Mashujaa FC

Na Winfrida Mtoi WANANCHI Yanga wameichakaza timu ya Mashujaa mabao 6-0, huku nyota mpya wa...

Watumishi wapya wa Ofisi ya Msajili wa Hazina wapigwa msasa

Na Mwandishi Wetu, Pwani OFISI ya Msajili wa Hazina (OMH), kwa kushirikiana na Chuo cha...

Kituo cha kupoza umeme Mtera kuboresha upatikanaji wa Umeme Iringa na Dodoma

Na Mwandishi Wetu SERIKALI kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imezindua Kituo cha Kupoza...