Na Mwandishi Wetu
TUME ya Uchunguzi wa Matukio ya Uvunjifu wa Amani wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, imesema kuwa jumla ya watu 518 walipoteza maisha katika ghasia zilizotokea kipindi hicho.Akizungumza wakati wa kuwasilisha taarifa ya ripoti ya uchunguzi kwa...
Ukitafakari vema safari ya umri wa taifa letu, yapo mambo kadhaa yanayojitokeza yakiashiria kwamba huenda kuna mahali tuliruka hatua, au tulikwepa kujenga wajibu wetu wa kitaifa. Ni kama vile kwa kitambo sasa kumekuwa na mkakati wa makusudi wa ama kupuuza kupitia hatua husika kwa...