MINZIRO NA PAMBA YAKE NAWAPIGA TU

Na Mwandishi Wetu

Timu ya Pamba Jiji chini ya Kocha Felix Minziro (Majeshi, Baba Isaya) imeendelea  kujinasua katika nafasi za chini  baada ya leo Februari 15, 2025 kuichapa Coastal Union mabao 2-0 katika mchezo wa Ligi  Kuu Bara  uliopigwa dimba la CCM Kirumba, Mwanza.

Matokeo hayo yanaifanya Pamba kufikisha alama 21 katika michezo 19,  ikipanda hadi nafasi ya nane  kutoka  ya 13 . Huo ni mchezo wa tatu mfululizo kushinda, mechi iliyopita iliifunga Azam FC 1-0 kwenye uwanja huo, kabla ya hapo ilitoka kuipiga Dodoma Jiji 1-0 ugenini.

spot_img

Latest articles

Baraza la saba la Wafanyakazi Wizara ya Nishati lakutana Dodoma

📌 Dkt. Kazungu asema Wizara itaendelea kutekeleza miradi mbalimbali ya Kimkakati 📌 Baraza lapitisha rasimu...

Wizara ya Nishati yataja mafanikio utekelezaji majukumu 2024/25

📌 Uzalishaji umeme waongezeka kwa asilimia 59.9 📌 Misheni 300 kuongeza upatikanaji umeme...

Gavana Tutuba: Hali ya uchumi wa Tanzania inaendelea kuimarika

Na Tatu Mohamed GAVANA wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Emmanuel Tutuba amesema kuwa, hali...

Dkt. Biteko: Ufundi Stadi umepewa kipaumbele na serikali

📌 Asisitiza kuwa, Rais Samia anajenga vyuo kila wilaya nchini 📌 Apongeza utoaji wa mafunzo...

More like this

Baraza la saba la Wafanyakazi Wizara ya Nishati lakutana Dodoma

📌 Dkt. Kazungu asema Wizara itaendelea kutekeleza miradi mbalimbali ya Kimkakati 📌 Baraza lapitisha rasimu...

Wizara ya Nishati yataja mafanikio utekelezaji majukumu 2024/25

📌 Uzalishaji umeme waongezeka kwa asilimia 59.9 📌 Misheni 300 kuongeza upatikanaji umeme...

Gavana Tutuba: Hali ya uchumi wa Tanzania inaendelea kuimarika

Na Tatu Mohamed GAVANA wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Emmanuel Tutuba amesema kuwa, hali...