Na Mwandishi Wetu, Iringa
KAMPUNI ya Media Brains kwa kushirikiana na Taasisi ya Konrad Adenauer Stiftung (KAS) imetoa mafunzo kwa waandishi wa habari mkoa wa Iringa kuhusu uandishi wa habari za kidijitali.
Mafunzo hayo ya siku mbili yaliyoeanza leo Juni 2, 2026, katika Hoteli ya Sunset,...
Na Winfrida Mtoi
BEKI wa timu ya Taifa (Taifa Stars), Nickson Kibabage amesema kitendo cha vijana wa timu ya Serengeti Boys kufika fainali ya AFCON - U17 na kiwango walichoonesha ni fursa ya kwenda kucheza soka la kulipwa katika mataifa makubwa.
Serengeti Boys inatarajia kushuka dimbani...