HomeFeatured

Featured

SMZ yapongeza udhamini mnono wa NMB Mapinduzi Cup

Na Mwandishi Wetu, Zanzibar SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ), imeipongeza Benki ya NMB kwa kusaini mkataba mnono wa udhamini wa mashindano ya Mapinduzi Cup , unaobadili rasmi jina la michuano na sasa kuitwa NMB Mpinduzi Cup 2026. NMB Mapinduzi Cup 2026 inashirikisha timu 10, zikiwemo...

Mwakinyo ashinda kwa K.O, afichua siri

Na Winfrida Mtoi Bondia wa ngumi za kulipwa nchini, Hassan Mwakinyo ameibuka mshindi kwa K.O dhidi ya mpinzani wake Stanley Eribo kutoka Nigeria, baada ya kumaliza pambano katika raundi mbili. Pambano hilo limemalizika usiku huu katika ukumbi wa Warehouse Masaki, jijini Dar es Salaam. Akizungumzia pambano hilo,...
spot_img

Keep exploring

Dk. Kikwete kuwaaga wapanda mlima 61 Kampeni ya GGML KiliChallenge-2023

Na Mwandishi Wetu, Media Brain RAIS mstaafu Dk. Jakaya Kikwete kesho Ijumaa Julai 14, 2023...

“Afrika Sio Salama kwa Wala Rushwa” – Rais Samia

Na Mwandishi Wetu, Media Brains Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu...

Rostam; Ulimi uliteleza, aiomba radhi mahakama

Na Mwandishi Wetu, Media Brains Mfanyabiashara maarufu nchini Tanzania, Rostam Aziz ameiomba radhi Mahakama kufuatia...

Mikataba ya Uendeshaji Bandari itazingatia maslahi ya nchi-Majaliwa

Na MwandishiWetu, Media Brains WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali itahakikisha kuwa mikataba ya utekelezaji...

Mwanasheria Mkuu wa Serikali Eliezer Feleshi atoa maneno mazito mjadala wa DP World

Achambua mkataba kati ya Dubai na Tanzania kipengele kwa kipengele Apangua upotoshaji wa bandari kuuzwa,...

Rostam kuwekeza kwenye uzalishaji umeme Zambia

Na Mwandishi Wetu, Media Brains Mfanyabiashara Rostam Aziz kupitia Kampuni ya Taifa Gas ya Tanzania...

Wafanyakazi Jiji la Dar kizmbani kwa kusababisha hasara ya Bilioni 8

Na Mwandishi Wetu, Media Brains Wafanyakazi wa Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam wamefikishwa...

Balozi Dk. Shelukindo aiomba India kushirikiana na Tanzania

Na Mwandishi Wetu, Media Barain Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano...

Mwigulu; Waziri jeuri wa Samia asiyejali kitu

SIKU tatu za Mei 2023 yaani Jumatatu ya Mei 15, Mei 16 na Mei...

Nisingelifaulu mtihani wa Bashiru

Na Jesse Kwayu BASHIRU Ally ni mwalimu wa sayansi ya siasa, ni mbobezi wa eneo...

Siasa za ushirikishwaji zinajenga taifa zaidi

Na Jesse Kwayu UKIFUATILIA vyombo vya habari vya Kenya unaweza kudhani kwamba mwaka huu watakuwa...

TUENDAKO: ABSALOM KIBANDA AMTUMIA UJUMBE RAIS JPM

NA ABSALOM KIBANDA, +255 782 377 070 | HUU ni mwezi wa 21 tangu Serikali...

Latest articles

SMZ yapongeza udhamini mnono wa NMB Mapinduzi Cup

Na Mwandishi Wetu, Zanzibar SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ), imeipongeza Benki ya NMB kwa...

Mwakinyo ashinda kwa K.O, afichua siri

Na Winfrida Mtoi Bondia wa ngumi za kulipwa nchini, Hassan Mwakinyo ameibuka mshindi kwa K.O...

Mwakinyo kuilipia kisasi Taifa Stars dhidi ya Mnigeria kesho, Furahi apania rekodi

Na Winfrida Mtoi BONDIA wa kimataifa wa Tanzania, Hassan Mwakinyo, ameweka bayana kuwa pambano lake...

Serikali kuendelea kuwawezesha vijana kijamii, kiuchumi

Na Tatu Mohamed WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais – Maendeleo ya Vijana, Joel...