Na Mwandishi Wetu
SERIKALI imeendelea kutekeleza mikakati iliyoanishwa katika Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 kupitia uwekezaji wa Kiwanda cha Sukari cha Mkulazi kinachomilikiwa kwa ushirikiano kati ya Mfuko wa Taifa wa Hifadhi ya Jamii (NSSF) na Jeshi la Magereza.
Uwekezaji huo umetajwa kuwa miongoni mwa...
Na Mwandishi Wetu
JESHI la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam linawashikilia raia wanne wa China kwa tuhuma za kuhusika na tukio la utekaji wa wafanyabiashara wenzao wawili, Weiyi Chen (64) na Liang Xiolo (44).Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Kamanda wa Polisi Kanda...