HomeMichezo

Michezo

Waziri wa Nishati Ndejembi azindua rasmi mita janja

Na Mwandishi Wetu WAZIRI wa Nishati, Deogratius Ndejembi amezindua rasmi mita janja (smart meter) yenye lengo la kuboresha na kumrahisishia mteja kufanya manunuzi ya umeme moja kwa moja ikiwa ni mageuzi makubwa ya teknolojia yanayofanywa na TANESCO katika kuongeza ufanisi wa utoaji...

RC Kunenge: Mto Ruvu ubaki kwa matumizi ya binadamu tu, tusitishe shughuli nyingine kwa muda

Na Mwandishi Wetu MKUU wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge, ametoa wito kwa wakulima wanaotumia maji ya Mto Ruvu kwa shughuli za kilimo kusitisha matumizi hayo kwa muda hadi pale mvua zitakapoanza kunyesha kwa wingi ili kutoathiri shughuli za uzalishaji na usambazaji wa maji...
spot_img

Keep exploring

Bondia Debora amtangazia vita Asia, apania kulipa kisasi

Na Winfrida Mtoi Bondia  wa ngumi za kulipwa nchini, Debora Mwenda, ametangaza vita dhidi ya...

Yanga Bingwa Ligi Kuu msimu wa 2024/25

Na Mwandishi Wetu Yanga imefanikiwa kutetea ubingwa wake wa Ligi Kuu Tanzania Bara kwa kuichapa...

Sinema mpya yaanza kuelekea mechi ya Dabi kesho, Simba yakacha mkutano wa wanahabari

Na Mwandishi Wetu Picha iliyotumwa na klabu ya Simba kwenye mitandao yao ya kijamii ni...

Mwamuzi kutoka Misri kuchezesha Dabi ya Kariakoo

Na Mwandishi Wetu Bodi ya Ligi Kuu  Tanzania Bara imemtangaza mwamuzi Amin Omar kutoka Misri kuwa...

Waziri Mkuu aagiza  kukamilishwa ukarabati viwanja vya mazoezi ya CHAN  2025

Na Mwandishi Wetu Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amefanya ukaguzi wa viwanja vitakavyotumika kufanyia mazoezi kwa...

Kocha Yanga: Siwaandai wachezaji wangu kisaikolojia kwa sababu si wagonjwa, tuna fainali nne za kucheza  

Na Mwandishi Wetu Kocha Mkuu wa Yanga, Miloud Hamad amesema hawaandai wachezaji wake kisaikolojia kwa...

TSA yahitimisha msimu, mabingwa wapatikana

Na Mwandishi Wetu Chama Cha Kuogelea Tanzania (TSA), kimehitimisha msimu wa mashindano kwa mujibu wa...

Watoto 295 washindana kuogelea,

Na Winfrida Mtoi Watoto  295 wenye umri chini ya miaka 12,wamejitokeza katika mashindano ya mchezo wa  kuogelea...

Sakata la dabi ya Kariakoo, Serikali yatoa msimamo

Na Mwandishi Wetu Serikali imesema kuwa inaendelea kufuatilia kwa makini sakata la mchezo wa Ligi...

Simba yawaita mashabiki kwa Mkapa Juni 15

Na Mwandishi Wetu Pamoja na mkanganyiko uliopo juu ya mchezo dabi ambapo Yanga wameweka wazi...

Yanga yaishika pabaya TFF, CRDB yachomoka

Na Mwandishi Wetu Sakata la Klabu ya Yanga la fedha za zawadi, limeendelea baada ya...

Serikali yatenga bilioni 43 kuimarisha michezo  shuleni

Na Mwandishi Wetu Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema Serikali imetenga  Sh 43 bilioni ili kuimarisha michezo katika...

Latest articles

Waziri wa Nishati Ndejembi azindua rasmi mita janja

Na Mwandishi Wetu WAZIRI wa Nishati, Deogratius Ndejembi amezindua rasmi mita janja (smart meter)...

RC Kunenge: Mto Ruvu ubaki kwa matumizi ya binadamu tu, tusitishe shughuli nyingine kwa muda

Na Mwandishi Wetu MKUU wa Mkoa wa Pwani, Abubakar Kunenge, ametoa wito kwa wakulima...

Tume ya Jaji Chande na mlima wenye utelezi

KAMA kuna tume ya uchunguzi iliyopata kuundwa nchini kwa jambo mahususi, ikajikuta katika uwanja...

Rais Samia: Walilenga kupindua dola

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, amesema kuwa vurugu...