HomeKITAIFA

KITAIFA

Mgodi wa kihistoria wa niobium kujengwa Mbeya

Na Mwandishi Mbeya TANZANIA imepiga hatua muhimu katika kuimarisha ushirikiano wa kiuchumi na Marekani baada ya Serikali na Panda Hill Tanzania Limited kusaini makubaliano ya kuendeleza Mradi wa Niobium wa Panda Hill---hatua inayolenga kuifanya Mbeya kuwa kitovu cha uzalishaji na usindikaji wa madini mkakati. Kupitia mradi...

Ndejembi ataka Ewura kukagua maghala ya mafuta kuhakikisha hakuna mafuta yanayofichwa

📌Asema nchi ina usalama mkubwa wa mafuta hivyo wananchi waendelee kupata huduma muda wote 📌Timu maalum kuundwa kufuatilia uingizaji wa mafuta nchini Na Mwandishi wetu WAZIRI wa Nishati, Deogratius Ndejembi ameitaka Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (EWURA) kuhakikisha kuwa, hakuna mfanyabiashara anayeficha...
spot_img

Keep exploring

Deni la Taifa lafikia Trilioni 90, Serikali yatoa sababu za kuongezeka

Na Mwandishi Wetu, Media Brains Waziri wa Fedha, Dk. Mwigulu Nchemba, amesema hadi kufikia Machi...

VAR kutumika ligi kuu bara msimu ujao

Na Mwandishi Wetu, Media Brains Ili kupunguza makosa ya waamuzi katika Ligi Kuu ya Tanzania...

Kikokotoo mafao ya Wastaafu sasa asilimia 40

Na Mwandishi Wetu, Media Brains Serikali imetangaza ongezeko la malipo ya mkupuo kwa wastaafu kutoka...

Waziri Mkuu atoa maagizo kwa Watumishi wa Umma

*Awataka waondoe urasimu na kutowasumbua wananchi wanaowahudumia Na Mwandishi Wetu, Media Brains WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa...

Matusi mitandaoni hayatanizuia kufanya mageuzi ya kiuchumi-Rais Samia

Na Mwandishi Wetu, Media Brains Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu...

UVCCM yaukataa mtandao wa X

Na Winfrida Mtoi Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM), umeishauri Serikali kuchunguza maudhui...

Bastola toy zatumika kufanyia uhalifu

Na Winfrida Mtoi Jeshi la Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, imemkamata Hassan Yahya...

Wizara nne kushughulikia vyanzo ukatili kwa watoto

Na Nora Damian Serikali inatarajia kuunda kamati maalumu itakayohusisha Wizara ya Katiba na Sheria, Mambo...

INEC YAWANOA WASIMAMIZI WA VITUO VYA UCHAGUZI JIMBO LA KWAHANI

Na Mwandishi Wetu, Zanzibar Wasimamizi na wasimamizi wasaidizi wa vituo vya Kupiga Kura Jimbo la...

Mzee miaka 63 kizimbani kwa kumbaka binti yake

Na Malima Rubasha, Serengeti Mahakama ya Wilaya ya Serengeti mkoani Mara, imempandisha kizimbani Marwa...

Dk. Biteko: Kila Mtanzania atunze na kuhifadhi mazingira

Na Mwandishi Wetu, Media Brains Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko...

Katibu madini, Kamishna wa mafuta, gesi wapewa maagizo

Na Ramadhan Hassan,Dodoma Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Doto Biteko amemuagiza Katibu Mkuu...

Latest articles

Mgodi wa kihistoria wa niobium kujengwa Mbeya

Na Mwandishi Mbeya TANZANIA imepiga hatua muhimu katika kuimarisha ushirikiano wa kiuchumi na Marekani baada...

Ndejembi ataka Ewura kukagua maghala ya mafuta kuhakikisha hakuna mafuta yanayofichwa

📌Asema nchi ina usalama mkubwa wa mafuta hivyo wananchi waendelee kupata huduma muda wote 📌Timu...

Tanesco yagusa mioyo ya watoto wenye mahitaji maalum

📌Ni sehemu ya uwajibikaji wake kwa jamii 📌Yatoa misaada mbalimbali kwa vituo vitatu Dar...

 ‘Umimi’ wa viongozi unaua Jumuiya Afrika Mashariki

KATIKATI ya miaka ya 90 wakati mfumo wa vyama vingi unaota mizizi, lilitokea wazo...