📌 Wafika asilimia 94 ya utekelezaji wake
📌 Kazi za uvutaji waya kwenye mradi kusababisha katizo la muda la umeme katika baadhi ya maeneo kwa ratiba maalumu
Na Mwandishi Wetu
SHIRIKA la Umeme Tanzania (TANESCO) limesema Mradi wa Njia ya Kusafirisha Umeme ya Msongo wa Kilovolti 400...
📌Waziri Ndejembi ashuhudia utiaji saini, asema ni alama ya miradi ya kielelezo nchini
📌Mradi utakuwa na uwezo wa kuzalisha megawati 100
📌Aeleza mradi kugharimu Shilingi bilioni 204.4 na kuchochea sekta za kilimo, viwanda na uchimbaji wa madini.
📌Aitaka TANESCO kusimamia kwa karibu utekelezaji wa mradi ili...