MOTSEPE KUENDELEA KUONGOZA CAF HADI 2029, KARIA MJUMBE

Na Mwandishi Wetu

Rais wa Shirikisho la Soka  Afrika (CAF), Patrice Motsepe ataendelea kuliongoza shirikisho hilo hadi 2029 baada ya kuchaguliwa katika nafasi katika uchaguzi uliofanyika leo Machi 12,2025, Cairo, Misri.

Motsepe ambaye amekuwa Rais wa shirikisho hilo tangu mwaka 2021,  amechaguliwa akiwa ni mgombea pekee katika nafasi hiyo.

Naye Rais wa Shirikisho la Soka nchini(TFF), Wallace Karia amechaguliwa  mjumbe Kamati ya Utendaji ya (CAF), akiwa mgombea  pekee wa nafasi hiyo kuwakilisha Kanda ya Soka ya Baraza la vyama vya Mpira wa Miguu Afrika Mashariki na Kati (Cecafa).

spot_img

Latest articles

Baraza la saba la Wafanyakazi Wizara ya Nishati lakutana Dodoma

📌 Dkt. Kazungu asema Wizara itaendelea kutekeleza miradi mbalimbali ya Kimkakati 📌 Baraza lapitisha rasimu...

Wizara ya Nishati yataja mafanikio utekelezaji majukumu 2024/25

📌 Uzalishaji umeme waongezeka kwa asilimia 59.9 📌 Misheni 300 kuongeza upatikanaji umeme...

Gavana Tutuba: Hali ya uchumi wa Tanzania inaendelea kuimarika

Na Tatu Mohamed GAVANA wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Emmanuel Tutuba amesema kuwa, hali...

Dkt. Biteko: Ufundi Stadi umepewa kipaumbele na serikali

📌 Asisitiza kuwa, Rais Samia anajenga vyuo kila wilaya nchini 📌 Apongeza utoaji wa mafunzo...

More like this

Baraza la saba la Wafanyakazi Wizara ya Nishati lakutana Dodoma

📌 Dkt. Kazungu asema Wizara itaendelea kutekeleza miradi mbalimbali ya Kimkakati 📌 Baraza lapitisha rasimu...

Wizara ya Nishati yataja mafanikio utekelezaji majukumu 2024/25

📌 Uzalishaji umeme waongezeka kwa asilimia 59.9 📌 Misheni 300 kuongeza upatikanaji umeme...

Gavana Tutuba: Hali ya uchumi wa Tanzania inaendelea kuimarika

Na Tatu Mohamed GAVANA wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Emmanuel Tutuba amesema kuwa, hali...