HomeKimataifa

Kimataifa

Waogeleaji 19 wapaa Argeria, kuiwakilisha Tanzania mchuano ya Afrika

Na Winfrida Mtoi JUMLA ya waogeleaji 19 wamekabidhiwa bendera Mei 2, 2026 kwenda kuiwakilisha Tanzania katika Mashindano ya 17 ya Kuogelea ya Afrika, yatakayofanyika nchini Algeria kuanzia Mei 5 hadi 13,2026. Mashindano hayo yatahusisha makundi mbalimbali yakiwemo timu ya vijana ‘junior team’, timu ya wakubwa ‘senior...

TTB yaeleza Utalii wa michezo unavyochangia uchumi wa jamii

Na Mwandishi Wetu, Njombe BODI ya Utalii Tanzania (TTB), imesema utalii wa michezo umeendelea kuwa nguzo muhimu ya kuongeza mapato kwa jamii zinazozunguka Hifadhi za Taifa, huku wananchi wa maeneo hayo wakinufaika kupitia fursa mbalimbali za kiuchumi zinazotokana na ongezeko...
spot_img

Keep exploring

JBIC na JICA waahidi ushirikiano kwa ETDCO

Na Mwandishi Wetu TAASISI ya Japan Bank for International Cooperation (JBIC) pamoja na Japan...

Makamu wa Rais atoa wito uboreshaji mfumo wa fedha

Na Mwandishi Wetu Makamu wa Rais Dk. Philip Mpango ametoa wito wa kufanyika maboresho ya...

Ndege ya Air India yaanguka, ikiwa na abiria  242

Na Mwandishi Wetu Ndege ya abiria ya Shirika la Ndege la  India ‘Air India’  iliyokuwa inatokea nchini...

Dk. Mpango atoa wito  kwa Mataifa kupunguza uchafuzi wa mazingira, kulinda bioanuwai ya baharini

Na Mwandishi Wetu Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dk. Philip Mpango...

Aliyekuwa Rais wa Zambia, Edgar Lungu afariki dunia

Na Mwandishi wetu Rais  wa  zamani  wa Zambia, Edgar Lungu, amefariki dunia  akiwa na umri wa miaka 65 baada...

Mawaziri wa Nishati Jumuiya ya SADC kukutana nchini Zimbabwe

📌Masuala ya Umeme, Gesi, Nishati Safi kujadiliwa Na Mwandishi Wetu KAMISHNA wa Umeme na Nishati...

Majaliwa: JICA yaahidi kuendelea kuishika mkono serikali ya Tanzania 

Na Mwandishi Wetu  WAZIRI MKUU, Kassim Majaliwa amesema kuwa Shirika la Kimataifa la Maendeleo la...

Makamu wa Rais, Dkt. Mpango afanya mazungumzo na Rais wa AfDB anayemaliza muda wake

MAKAMU wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Philip Mpango amekutana na...

Makamu wa Rais, Dkt. Mpango afanya mazungumzo na viongozi mbalimbali Ivory Coast

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Philip Mpango akizungumza na...

Waziri Masauni aungana na ujumbe wa Waziri Mkuu nchini Japan

Waziri wa nchi Ofisi ya Makamu wa Rais ( Rais Muungano na Mazingira) Mhandisi...

Bandari chanzo kingine cha Biashara ya Kaboni

Na Mwandishi Wetu Hayo yaamelezwa na Bw. Ingvar M. Mathisen, Mkurugenzi mkuu wa Bandari...

Latest articles

Waogeleaji 19 wapaa Argeria, kuiwakilisha Tanzania mchuano ya Afrika

Na Winfrida Mtoi JUMLA ya waogeleaji 19 wamekabidhiwa bendera Mei 2, 2026 kwenda kuiwakilisha Tanzania...

TTB yaeleza Utalii wa michezo unavyochangia uchumi wa jamii

Na Mwandishi Wetu, Njombe BODI ya Utalii Tanzania (TTB), imesema utalii wa...

Tume Jaji Chande imekwepa kututajia aliyekutwa na ngozi ya ng’ombe

NINGALI ninaitafakari ripoti ya Jaji Mohammed Chande ya matukio ya Oktoba 2025 wakati na...

Adaiwa kumuua mtalaka wake kwa panga kisa nguvu za kiume

Na Mwandishi Wetu JESHI la Polisi mkoani Lindi linamshikilia Hassan Athuman Mpogo (46), mvuvi na...