Na Mwandishi Wetu
TAASISI ya CRDB Bank Foundation kwa kushirikiana na Shirika la Maendeleo la Ujerumani (GIZ) wamezindua rasmi programu ya Ajira Ye2 itakayowawezesha vijana na wanawake zaidi ya 500 kupata ajira na kukuza biashara zao kupitia mafunzo, mitaji na ushauri wa kitaalamu.
Akizungumza leo Septemba...
Na Mwandishi Wetu
ZAIDI ya Wenyeviti wa Bodi na Wakuu wa Taasisi za Umma 650 nchini walikutana jijini Arusha kati ya Agosti 23–26, 2025 katika kikao kazi cha mwaka, maarufu kama, CEOs Forum, na kukubaliana juu ya maazimio tisa yanayolenga kuimarisha ufanisi wa taasisi za...