Na Winfrida Mtoi
Tume ya Rais ya Maboresho ya Kodi nchini, imesema tayari imeanza kazi rasmi, hivyo kutoa wito kwa wananchi kutoa maoni ya kile wanachohotaji kifanyiwe maboresho katika mfumo wa ulipaji na ukusanyaji kodi.
Akizungumza leo Oktoba, 22 2024 Ikulu jijini Dar es Salaam,...
JUMATATU wiki hii Watanzania walikumbuka kifo cha Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere aliyefariki dunia katika hopitali ya Mtakatifu Thomas London, Uingereza Oktoba 14, mwaka 1999. Tangu Mwalimu atangulie mbele ya haki ni robo karne imepita, ni muda mrefu kwa viwango vya ratiba za...