Na Tatu Mohamed
MAMLAKA ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya (DCEA) imekamata tani 9.93 za dawa za kulevya za aina mbalimbali na chupa 1,795 za dawa tiba zenye asili ya kulevya katika kipindi cha Januari hadi Februari 2026.
Mbali na ukamataji huo, Mamlaka imeteketeza...
Kampuni ya Media Brains ikishirikiana na Shirika la Konrad Adenauer Stiftung (KAS) wanaendesha mafunzo kwa waandishi wa habari mkoani Manyara ya kuwajengea uwezo wa kuandika habari katika muktadha wa kidijiti.
Mafunzo hayo ambayo ni ya kivitendo zaidi yakiwajumuisha waandishi wabobevu katika tasnia, ni ya siku...