HomeKimataifa

Kimataifa

Tume ya Rais ya Maboresho ya Kodi yaanza kazi, yakaribisha wananchi kutoa maoni

Na Winfrida Mtoi Tume ya Rais ya Maboresho ya Kodi nchini, imesema tayari imeanza kazi rasmi, hivyo kutoa wito kwa wananchi kutoa maoni ya kile wanachohotaji kifanyiwe maboresho katika mfumo wa ulipaji na ukusanyaji kodi. Akizungumza leo Oktoba, 22 2024 Ikulu jijini Dar es Salaam,...

Urathi wa Mwalimu Nyerere usaidie kukubali kukosolewa

JUMATATU wiki hii Watanzania walikumbuka kifo cha Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere aliyefariki dunia katika hopitali ya Mtakatifu Thomas London, Uingereza Oktoba 14, mwaka 1999. Tangu Mwalimu atangulie mbele ya haki ni robo karne imepita, ni muda mrefu kwa viwango vya ratiba za...
spot_img

Keep exploring

Uhuru atoa wito kwa viongozi kuwasikiliza wananchi

Nairobi, Kenya Rais wa zamani wa Kenya Uhuru Kenyatta, ametoa wito wa amani kufuatia maandamano...

Bunge la Kenya laidhinisha kutumiwa kwa Jeshi, Mahakama yaweka ngumu

Nairobi, Kenya Bunge la Kenya limeidhinisha ombi la Baraza la Ulinzi la kutumiwa kwa Jeshi...

Polisi wakabiliana na waandamanaji mjini Nairobi

Nairobi, Kenya Makabiliano makali yamezuka katikati ya mji Mkuu wa Kenya, Nairobi, baada ya polisi...

Kansa ya mizozo ndani ya vyama imeitafuna ANC

Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimekuwa na utamaduni wa kualika vyama rafiki kuhudhuria katika mikutano...

Mtu mmoja afariki katika ajali ya ndege ya shirika la ndege la Singapore kutoka London

Bangkok, Thailand Mtu mmoja amefariki dunia na wengine kadhaa kujeruhiwa leo wakati ndege ya shirika...

Mafuriko Kenya: KHRC yawashtaki mawaziri watatu kwa uzembe

Nairobi, Kenya Tume ya Haki za Binadamu nchini Kenya (KHRC) imethibitisha siku ya Ijumaa kuwa...

Uokoaji waendelea kutafuta watu 20 walioporomoka na daraja la Francis Scott Key Marekani

Na Mwandishi Wetu, Media Brains Timu za kutafuta na kuokoa zinawatafuta karibu watu 20...

Utafiti: Joto kali linaongeza hatari kujifungua mtoto mfu

Kufanya kazi kwenye joto kali kunaweza kuongeza hatari ya kuzaliwa mtoto mfu na kuharibika...

Rais mstaafu Brazil matatani kwa udanganyifu vipimo vya COVID 19

Polisi wa nchini Brazil wanapendekeza kwamba Rais wa zamani wa nchi hiyo, Jair Bolsonaro...

Maendeleo makubwautafiti tiba ya UKIMWI

Wanasayansi wanasema wamefanikiwa kuondoa Virusi vya Ukimwi kutoka kwenye chembechembe zilizoambukizwa, kwa kutumia teknolojia...

Marubani wasinzia nusu saa ndege ikiwa angani

Mamlaka za nchini Indonesia zinachunguza tukio la marubani wawili wa ndege ya kampuni ya...

SEHEMU YA NCHI GIZANI

Sehemu kadhaa nchini zimekumbwa na 'giza' kwa saa kadhaa leo Jumatatu Machi 4, 2024,...

Latest articles

Tume ya Rais ya Maboresho ya Kodi yaanza kazi, yakaribisha wananchi kutoa maoni

Na Winfrida Mtoi Tume ya Rais ya Maboresho ya Kodi nchini, imesema tayari imeanza...

Urathi wa Mwalimu Nyerere usaidie kukubali kukosolewa

JUMATATU wiki hii Watanzania walikumbuka kifo cha Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere aliyefariki...

Nimemsikiliza Gachagua, nikatamani Lowassa 2008 angelipambana vivyo

KWA zaidi ya wiki mbili sasa majirani zetu, Kenya, kumekuwa na siasa za moto....

Kukataa mgombea binafsi ni kukumbatia utumwa

HISTORIA inashuhudia kwamba wapo watumwa walikataa kuwa huru kwa sababu waliamini kwamba pamoja na...