Na Mwandishi Wetu
WAZIRI Mkuu, Dk. Mwigulu Nchemba amesema Serikali itayaendeleza mambo yote mema yaliyofanywa na aliyekuwa mbunge wa Peramiho mkoani Ruvuma, marehemu Jenista Mhagama ikiwemo kuimarisha ushirikiano kati ya Serikali na taasisi za kidini.
Ameitoa kauli hiyo leo Jumatatu, Desemba 15, 2025, wakati akiwasilisha salamu za...
Mwanadiplomasia nguli wa Tanzania, aliyewahi kuwa Balozi wa Tanzania nchini Nigeria na Mratibu Mkazi wa Umoja wa Mataifa nchini Eswatini na Namibia, Timothy Bandora (72), anatarajia kuzikwa kesho Desemba 16, 2025, katika Makaburi ya Kinondoni.
Balozi Bandora alifariki dunia wiki iliyopita akiwa jijini Nairobi, nchini...