HomeSIASA

SIASA

MC Pilipili afariki dunia

Na Mwandishi Wetu Mchekeshaji na mshereheshaji maarufu nchini, Emmanuel Mathias 'MC Pilipili' amefariki dunia leo, Novemba 16,2025. Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Mkoa wa Dodoma, Ernest Ibenzi amethibitisha taarifa hizo na kueleza kuwa MC Pilipili amefikishwa hospitalini hapo akiwa tayari amefariki dunia.

Watahiniwa 595,816 kuanza Mtihani wa Kidato cha Nne kesho

Na Tatu Mohamed JUMLA ya watahiniwa 595,816 wamesajiliwa kufanya Mtihani wa Kidato cha Nne 2025 unaotarajiwa kuanza kesho Oktoba 17, 2025 ambapo kati yao 569,914 ni watahiniwa wa shule na 25,902 ni watahiniwa wa kujitegemea. Kati ya Watahiniwa wa Shule 569,914 waliosajiliwa mwaka 2025, wavulana ni...
spot_img

Keep exploring

Viongozi wa dini Kanda ya Kati wataka amani uchaguzi mkuu

Na Mwandishi Wetu, Dodoma VIONGOZI wa dini mbalimbali kutoka Kanda ya Kati wamewataka Watanzania...

Viongozi wa dini Kanda ya Magharibi waazimia kudumisha amani kuelekea Uchaguzi Mkuu

Na Mwandishi Wetu, Tabora VIONGOZI wa dini katika mikoa ya Kanda ya Magharibi wameazimia...

Viongozi wa Dini Kanda ya Kusini wataka ulinzi amani, kujitokeza upigaji kura

Na Mwandishi Wetu, Lindi VIONGOZI wa dini mbalimbali kutoka mikoa ya Kanda ya Kusini wamewataka...

Maaskofu, Masheikh nyanda za juu wahimiza uchaguzi wa amani

Na Mwandishi Wetu, Mbeya VIONGOZI wa dini kutoka mikoa ya Nyanda za Juu Kusini wamewataka...

Viongozi wa dini Kaskazini wahimiza amani kuelekea Uchaguzi Mkuu

Na Mwandishi Wetu, Moshi VIONGOZI wa dini kutoka mikoa ya kanda ya kaskazini, wamewataka Watanzania...

Waangalizi wa Uchaguzi watakiwa kutoingilia mchakato wa Uchaguzi Mkuu

Na Mwandishi wetu, Dodoma WAANGALIZI wa Uchaguzi wa ndani na wa kimataifa wametakiwa kuzingatia sheria...

Bulugu awahamasisha vijana wa Mlowo kuichagua CCM

Na Mwandishi Wetu KATIBU Msaidizi Mkuu Idara ya Uhamasishaji na Chipukizi wa CCM, Bulugu...

Mahakama Kuu yaruhusu ACT Wazalendo, Mpina kufungua Shauri kupinga maamuzi ya Msajili

Na Mwandishi Wetu MAHAMAMA Kuu ya Tanzania (Masjala Kuu Dodoma) imetoa kibali kwa Chama...

Mwenyekiti INEC akagua maandalizi ya Uchaguzi Mkuu Chamwino na Mtera

Na Mwandishi Wetu MWENYEKITI wa Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi, Jaji wa Rufani...

INEC yatoa angalizo kwa Chama cha ACT Wazalendo kuhusu Luhaga Mpina

Mhe. Luhaga Joelson Mpina akiwa  na Mhe. Fatma Abdulhabib Ferej. Wawili hao walikua wapeperushe...

Latest articles

MC Pilipili afariki dunia

Na Mwandishi Wetu Mchekeshaji na mshereheshaji maarufu nchini, Emmanuel Mathias 'MC Pilipili' amefariki dunia leo,...

Watahiniwa 595,816 kuanza Mtihani wa Kidato cha Nne kesho

Na Tatu Mohamed JUMLA ya watahiniwa 595,816 wamesajiliwa kufanya Mtihani wa Kidato cha Nne 2025...

Tume kuundwa kuchunguza vurugu zilizotokea Oktoba 29, mwaka huu

Na Mwandishi Wetu  RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ametangaza...

Mkakati wa Mawasiliano wa Nishati Safi ya kupikia: Dira ya Mafanikio ya Taifa

Na Mwandishi Wetu IMEELEZWA kuwa Mkakati wa Mawasiliano wa Nishati Safi ya Kupikia ni...