Na Mwandishi Wetu
Baada ya timu ya JKT Queens kutoa sare mbili mfululizo Ligi ya Mabingwa Wanawake Afrika (CAFWCL), bado ina matumaini ya kutinga nusu fainali ya michuano hiyo, ambapo mchezo ujao itakutana na TP Mazembe Novemba 15,2025.
Katika michuano hiyo inayoendelea nchini Misri, JKT Queens...
Na Mwandishi Wetu
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ametangaza uteuzi Mawaziri 20, watakaunda Baraza jipya litakalosimamia utekelezaji wa sera za Serikali ya Awamu ya Nane katika kipindi cha pili cha uongozi wake.Akizungumza leo Novemba 13, 2025, Ikulu...