Heche viongozi wengine Chadema waachiwa na Polisi kwa dhamana

Na Mwandishi Wetu

Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), John Heche na viongozi wengine wa chama hicho  wameachiwa kwa dhamana na Jeshi la Polisi jioni ya leo jumatatu Novemba 10, 2025.

Heche ameachiwa pamoja na viongozi wengine wa chama hicho akiwemo Naibu Katibu Mkuu Bara, Amani Golugwa, Mwenyekiti wa chama hicho Kanda ya Pwani Boniface Jacob na Mjumhe wa Kamati Kuu Godbless Lema.

Kwa mujibu wa wakili Hekima Mwasipu amesema Heche ameachiwa kwa dhamana baada ya kushikiliwa na Jeshi la Polisi toka Oktoba 22, 2025 alipokamatwa katika viunga vya Mahakama Kuu ya Tanzania Masjala Ndogo ya Dar es Salaam.

Amesema viongozi wote hao wameachiwa katika kituo cha Polisi cha Osterbay jijini Dar es Salaam

spot_img

Latest articles

Yanga yaikung’uta vibaya Mashujaa FC

Na Winfrida Mtoi WANANCHI Yanga wameichakaza timu ya Mashujaa mabao 6-0, huku nyota mpya wa...

Watumishi wapya wa Ofisi ya Msajili wa Hazina wapigwa msasa

Na Mwandishi Wetu, Pwani OFISI ya Msajili wa Hazina (OMH), kwa kushirikiana na Chuo cha...

Kituo cha kupoza umeme Mtera kuboresha upatikanaji wa Umeme Iringa na Dodoma

Na Mwandishi Wetu SERIKALI kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imezindua Kituo cha Kupoza...

Tanesco Kigamboni yatoa elimu y nishati safi ya kupikia shule ya msingi Malaika

Na Mwandishi Wetu KATIKA kuunga mkono jitihada za Serikali za kuhamasisha matumizi ya nishati...

More like this

Yanga yaikung’uta vibaya Mashujaa FC

Na Winfrida Mtoi WANANCHI Yanga wameichakaza timu ya Mashujaa mabao 6-0, huku nyota mpya wa...

Watumishi wapya wa Ofisi ya Msajili wa Hazina wapigwa msasa

Na Mwandishi Wetu, Pwani OFISI ya Msajili wa Hazina (OMH), kwa kushirikiana na Chuo cha...

Kituo cha kupoza umeme Mtera kuboresha upatikanaji wa Umeme Iringa na Dodoma

Na Mwandishi Wetu SERIKALI kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) imezindua Kituo cha Kupoza...