HomeNyuma ya Pazia

Nyuma ya Pazia

TRA yasifu matumizi mazuri ya fedha ujenzi wa Bwawa la Julius Nyerere

📌 Yasema mradi huo ni ushahidi wa thamani ya kodi za wananchi katika kuchochea maendeleo ya nchi 📌Yahimiza ulipaji wa kodi kwa hiari na wakati kuwezesha utekelezaji endelevu wa miradi mingine inayoendelea nchini Na Mwandishi Wetu MAMLAKA ya Mapato nchini (TRA) imesifu matumizi sahihi ya...

VETA Kuongeza Vyuo Kutoka 80 hadi 152 Kufikia 2027

Na Mwandishi Wetu MAMLAKA ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) imetangaza mpango wa kuongeza idadi ya vyuo vyake kutoka 80 vya sasa hadi 152 ifikapo mwaka 2027, hatua inayotarajiwa kuongeza udahili wa wanafunzi hadi kufikia 250,000 kwa mwaka. Hatua hiyo inalenga kusogeza huduma...
spot_img

Keep exploring

Bado watu wanapotea, yu wapi wa kuzuia hali hii?

ASKOFU wa Dayosisi ya Karagwe ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania, Dk. Benson...

Makalla aisaidie Polisi, Wizara ya Afya kuhami Watanzania

TANZANIA ilipata kushuhudia wanasiasa wasiotabirika, wenye kauli za kuchanganya na hadaa nyingi. Wapo ambao...

Mgombea binafsi ameingilia mlango wa nyuma

YAMEKUWAPO mapendekezo mengi ya kuboresha mfumo wa kuendesha siasa za Tanzania kwa kitambo sasa....

Umeme wa nje: Tutaepuka vipi vipigo vya nyuma?

Mwanzoni mwa wiki hii iliibuka habari kubwa iliyotokana na tamko la Rais wa Jamhuri...

Tujiruhusu kufikiri kwa upya, tuache ulegevu

JUMATATU wiki hii nilipata wasaa wa kuingia katika mazingira kilipokuwa kiwanda cha nguo cha...

Wafe wangapi ndipo tudhibiti madereva bodaboda?

YAPO mambo yanayotambulisha viwango vya maendeleo ya jamii na nchi kwa ujumla. Miongoni mwa...

Bidhaa ‘feki’ zadidimiza Watanzania lindi la umasikini

Watanzania wanazidi kunasa katika mzunguko wa umasikini unaosababishwa na kushamiri kwa bidhaa duni na...

Rwanda, Uganda, M23 watia kiza Jumuiya Afrika Mashariki

TUPO mwezi wa pili tu wa mwaka 2025, lakini kuna kila dalili kwamba unakwenda...

Chadema na uwazi, CCM na ‘ambush’

JANUARI 2025 ni mwezi utakaoacha kumbukumbu kubwa ya kihistoria katika siasa za Tanzania. Matukio...

CCM imefanya mapinduzi baridi Dodoma

KWA miaka mingi sasa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimekuwa na utaratibu ambao unajulikana wazi...

Utekaji huu sasa yatosha!

MWISHONI mwa wiki kulikuwa na taharuki kubwa kwenye mitandao ya kijamii kufuatia taarifa za...

Safari ya ‘TLP’ ya Lissu ni ipi?

MWAKA 1992 wakati nchi hii ilipoingia katika mfumo wa vyama vingi vya siasa, kulikuwa...

Latest articles

TRA yasifu matumizi mazuri ya fedha ujenzi wa Bwawa la Julius Nyerere

📌 Yasema mradi huo ni ushahidi wa thamani ya kodi za wananchi katika kuchochea...

VETA Kuongeza Vyuo Kutoka 80 hadi 152 Kufikia 2027

Na Mwandishi Wetu MAMLAKA ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) imetangaza mpango...

Mwanasheria Mkuu wa Serikali aongoza zoezi la kutoa huduma za kisheria kwa wananchi

Na Mwandishi Wetu MWANASHERIA Mkuu wa Serikali, Hamza S. Johari amewaongoza Mawakili wa Serikali...

Kliniki ya Sheria yazinduliwa jijini Dar es Salaam

Na Mwandishi Wetu OFISI ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali kwa kushirikiana na Ofisi ya Mkuu...