Na Mwandishi Wetu
RIPOTI ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), imebaini kuwa Kampuni ya Ndege Tanzania (ATCL) imeendelea kupata hasara baada ya ripoti mpya kwa mwaka wa fedha wa 2024/2025 kuonyesha kuwa kampuni hiyo imepata hasara ya shilingi bilioni 191.19.
Kwa mujibu wa ripoti hiyo, hasara...
Na Tatu Mohamed
BARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) limeanza kutoa elimu kwa wananchi kuhusu umuhimu wa usimamizi sahihi wa taka, ikiwa ni sehemu ya maandalizi ya kilele cha Maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Taka Sifuri yanayotarajiwa kufanyika Machi 30...