HomeSIASA

SIASA

Jeshi la Polisi latoa onyo wanaondelea kuhamasisha maandamano

Na Mwandishi Wetu JESHI la Polisi nchini limesema  kwa kushirikiana na vyombo vingine vya ulinzi na usalama  litaendelea kuimarisha hali ya usalama nchini na kulinda maisha ya wananchi na mali zao, huku likionya wale wanaondelea kuhamassha maandamano. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Msemaji wa Jeshi la...

Watanzania waaswa kudumisha amani, Umoja na mshikamano

Na Mwandishi Wetu KATIKA kuadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Tanganyika, Watanzania wametakiwa kukumbuka siku hiyo kwa misingi ya haki, amani, mshikamano na umoja wa kitaifa, huku wakiepuka mivutano yoyote inayoweza kugawanya taifa, ikiwemo migawanyiko ya kidini, kikabila au kisiasa. Akizungumza jijini Dar es Salaam,...
spot_img

Keep exploring

Busungu wa TADEA achukua fomu kuwania urais

Na Mwandishi Wetu Mwenyekiti wa Tume Huru yaTaifa ya Uchaguzi, Jaji wa Mahakama ya Rufaa...

NLD yazindua Ilani yenye vipaombele vinne

Na Mwandishi Wetu Chama cha National League for Democracy (NLD), kimezindua rasmi Ilani yake ya...

Aliyerejeshwa awabwaga wapinzani wake Kunduchi, aongoza kura za maoni

Na Mwandishi Wetu Mgombea wa udiwani Kata ya Kunduchi, jijini Dar es Salaam anayetetea nafasi...

Dogo Janja apita kura za maoni ya udiwani Ngarenaro

Na Mwandishi Wetu Msanii wa Bongofleva, Abdulaziz Abubakar ' Dogo Janja', ameongoza katika kura za...

Maandalizi ya Mkutano Mkuu Maalum UVCCM yamekamilika

Pichani ni Viongozi wa sekretarieti ya Umoja wa Vijana CCM wakikabidhi vifaa mbalimbali wezeshi...

Januari Makamba hayumo, Nape apeta uteuzi CCM

Na Mwandishi wetu Katibu wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama Cha Mapinduzi (CCM)...

Rais wa Yanga akatwa uteuzi Jimbo la Kigamboni, Jemedali, Shafii Dauda mambo mazuri

Na Mwandishi Wetu Rais wa klabu ya Yanga, Injinia Hersi Saidi ameshindwa kupenya katika  uteuzi...

CCM yamtema Luhaga Mpina

Na Mwandishi Wetu MBUNGE wa Kisesa, Luhaga Mpina, hatakuwa miongoni mwa wanaowania ubunge kupitia...

Gambo aenguliwa, CCM yateua watia nia saba kura za maoni Arusha Mjini

Na Mwandishi Wetu KAMATI Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) imewateua watia nia saba kuingia...

Kigogo Chadema atimkia Chauma

Na Mwandishi Wetu CHAMA Cha Ukombozi wa Umma (CHAUMA) kimeendelea kuvunja ngome ya Chama...

Uchaguzi Mkuu kufanyika Oktoba 29, Wapiga Kura milioni 37 wajiandikisha

Na Mwandishi Wetu OKTOBA 29, 2025 ndio siku ya Uchaguzi Mkuu wa Rais, Wabunge...

CCM yaja na mbinu mpya kudhibiti uzushi

Na Mwandishi Wetu Chama Cha Mapinduzi (CCM), kimeanza kutumia nembo maalumu (QR Code) ya utambuzi...

Latest articles

Jeshi la Polisi latoa onyo wanaondelea kuhamasisha maandamano

Na Mwandishi Wetu JESHI la Polisi nchini limesema  kwa kushirikiana na vyombo vingine vya ulinzi...

Watanzania waaswa kudumisha amani, Umoja na mshikamano

Na Mwandishi Wetu KATIKA kuadhimisho ya Siku ya Uhuru wa Tanganyika, Watanzania wametakiwa kukumbuka...

Serikali kuanzisha Kituo Maalum cha Wawekezaji Vijana

Na Tatu Mohamed SERIKALI inatarajia kuanzisha kituo Maalum cha kuhudumia na kuwezesha wawekezaji vijana(Youth Investors...

Mnyama Simba afia kwa Mkapa, Yanga, Azam kicheko

Na Winfrida Mtoi LIGI Kuu Tanzania Bara imeendelea leo Novemba 7, 2025 kwa michezo miwili...