“Kama taifa letu lilipata kuwa na bahati ni kuwa na Rais aliyechukia rushwa kama Julius Kambarage Nyerere. Nyerere aliikataa rushwa kwa maneno na vitendo. Kwa maneno na vitendo. Anapokuambia anaichukia rushwa alimaanisha kwamba anaichukia rushwa. Lakini vile vile taifa letu lilipata bahati ya kipekee...
Na Mwandishi Wetu
ZAIDI ya waogeleji 600 wanatarajiwa kushiriki katika mashindano ya kuogelea ya chipukizi kwa vijana wadogo ‘East Africa Development Swimming Gala’ yatakayoanza Aprili 18 hadi 19, 2026 katika bwawa la Shule ya Sekondari ya FK iliyopo Jijini Dar es Salaam.
Mashindano hayo yaliyondaliwa na...