themedia

Rais Samia akabidhi 94.1 bilioni mikopo ya wanawake, vijana

Na Mwandishi Wetu SERIKALI imekabidhi hundi ya shilingi 94.1 bilioni kwa ajili ya mikopo ya wanawake, vijana, watu wenye ulemavu, wafanyabiashara wadogo, wakiwemo mamalishe na babalishe, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kuwawezesha kukuza mitaji na kuimarisha shughuli zao za kiuchumi.Hundi hiyo imekabidhiwa leo Jumanne...

Mganga tiba za asili jela miaka 30 kwa kubaka

Na Mwandishi Wetu Mahakama ya Wilaya ya Kasulu imemhukumu mshitakiwa Nuru Hamimu Omary (48), mkulima na Mganga wa tiba asili, mkazi wa Kijiji cha Mwamgongo, Wilaya ya Kigoma kifungo cha kwenda jela miaka 30 baada ya kumtia hatiani kwa kosa la kumbaka mtoto wa kike...
spot_img

Keep exploring

 RC azungumzia tuhuma mfungwa kumbaka mtoto

SERIKALI Mkoani Katavi imeagiza kufanyika kwa uchunguzi kuhusu tuhuma za mfungwa kumbaka  mtoto mwenye umri...

Juma Dunia Haji ajitoa kuwania uenyekiti ACT

Mgombea nafasi ya uenyekiti chama cha ACT Wazalendo, Juma Duni Haji (babu Duni) ameamua...

Nitamkumbuka Mzee Ali Hassan Mwinyi kwa haya

Balozi Mbelwa Kairuki Nilipoteuliwa kuwa Balozi wa Tanzania Nchini China mwaka 2017 kabla sijakwenda kuripoti...

Hayati Rais Ali Hassan Mwinyi hatudai na hatumdai

Na Togolani Edriss Mavura Kiongozi rahimu, kiongozi jasiri, kiongozi mnyenyekevu, kiongozi muungwana, kiongozi mzazi na...

Mzee Mwinyi kuzikwa Mangapwani Unguja

Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Hayati Ali Hassan Mwinyi, atazikwa...

Ruto, Raila na Museveni wakutana Uganda

Picha ya Rais wa Kenya, William Ruto na kiongozi wa Upinzani nchini humo, Raila...

Polisi wawasaka walioua, kukata nyeti za marehemu

Polisi mkoani Mwanza wanawasaka wahusika wa mauaji ya Masanja Kefa (32) mkazi wa Kijiji...

Chadema yaongoza maandamano Arusha

Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) kinaongoza Maandamano ya amani jijini Arusha, likiwa ni...

Biden: Tendo la ndoa siri ya furaha kwenye ndoa

Rais Joe Biden wa Marekani amewaasa wasaidizi wake kwamba siri ya ndoa ya muda...

Waziri Mkuu Ethiopia kuzuru nchini siku tatu

DODOMAWaziri Mkuu wa Ethiopia Dkt. Abiy Ahmed Ali anatarajiwa kuwasili nchini kwa ziara ya...

Samia: Tumuenzi Lowassa kwa kufanya siasa za kujenga hoja

Nora Damian na Esther Mnyika, Monduli Rais Samia Suluhu Hassan amesema ukomavu mkubwa wa kisiasa...

AICC: Lowassa alianzisha uchumi wa mikutano, utalii

Nora Damian na Esther Mnyika, Monduli Waziri Mkuu wa zamani, Hayati Edward Lowassa ametajwa kuwa...

Latest articles

Rais Samia akabidhi 94.1 bilioni mikopo ya wanawake, vijana

Na Mwandishi Wetu SERIKALI imekabidhi hundi ya shilingi 94.1 bilioni kwa ajili ya mikopo ya...

Mganga tiba za asili jela miaka 30 kwa kubaka

Na Mwandishi Wetu Mahakama ya Wilaya ya Kasulu imemhukumu mshitakiwa Nuru Hamimu Omary (48), mkulima...

DAWASA yawaunganishiwa maji kwa mkopo wakazi wa Kibosha

Na Mwandishi Wetu Wakazi zaidi ya 100 wa Kitongoji cha Kibosha Mji Mpya wamejitokeza kuomba...

Tume uchunguzi wa matukio Oktoba 29 kukabidhi ripoti, watu 63,603 watoa maoni

Na Mwandishi Wetu TUME ya Uchunguzi wa matukio ya uvunjifu wa amani yaliyotokea wakati na...