Mganga tiba za asili jela miaka 30 kwa kubaka

Na Mwandishi Wetu

Mahakama ya Wilaya ya Kasulu imemhukumu mshitakiwa Nuru Hamimu Omary (48), mkulima na Mganga wa tiba asili, mkazi wa Kijiji cha Mwamgongo, Wilaya ya Kigoma kifungo cha kwenda jela miaka 30 baada ya kumtia hatiani kwa kosa la kumbaka mtoto wa kike mwenye umri wa miaka 12.

Mshtakiwa alitenda kosa hilo Septemba 28, 2025 huko Mtaa wa Murusi Wilayani Kasulu na kufikishwa mahakamani kwa mara ya kwanza Oktoba 15, 2025.

Akitoa huku hiyo jana April 20, 2026 Hakimu Mkazi Mwandamizi, Immaculate Shuli amesema kuwa mahakama imejiridhisha pasipo na shaka ushahidi uliotolewa na upande wa mashtaka na hatimaye kumtia hatiani mshitakiwa kwa kosa hilo.

Mshitakiwa huyo amehukumiwa kifungo hicho ili iwe fundisho kwa wahalifu wanaojihusisha na vitendo vya ukiukaji wa sheria, maadili na ukatili wa kijinsia dhidi ya watoto.

spot_img

Latest articles

Rais Samia akabidhi 94.1 bilioni mikopo ya wanawake, vijana

Na Mwandishi Wetu SERIKALI imekabidhi hundi ya shilingi 94.1 bilioni kwa ajili ya mikopo ya...

DAWASA yawaunganishiwa maji kwa mkopo wakazi wa Kibosha

Na Mwandishi Wetu Wakazi zaidi ya 100 wa Kitongoji cha Kibosha Mji Mpya wamejitokeza kuomba...

Tume uchunguzi wa matukio Oktoba 29 kukabidhi ripoti, watu 63,603 watoa maoni

Na Mwandishi Wetu TUME ya Uchunguzi wa matukio ya uvunjifu wa amani yaliyotokea wakati na...

Wadau wahimiza ujenzi wa miundombinu ya mchezo wa kuogelea kuendeleza vipaji

Na Winfrida Mtoi WADAU wa mchezo wa kuogelea nchini, wamefurahishwa na viwango vilivyooneshwa na...

More like this

Rais Samia akabidhi 94.1 bilioni mikopo ya wanawake, vijana

Na Mwandishi Wetu SERIKALI imekabidhi hundi ya shilingi 94.1 bilioni kwa ajili ya mikopo ya...

DAWASA yawaunganishiwa maji kwa mkopo wakazi wa Kibosha

Na Mwandishi Wetu Wakazi zaidi ya 100 wa Kitongoji cha Kibosha Mji Mpya wamejitokeza kuomba...

Tume uchunguzi wa matukio Oktoba 29 kukabidhi ripoti, watu 63,603 watoa maoni

Na Mwandishi Wetu TUME ya Uchunguzi wa matukio ya uvunjifu wa amani yaliyotokea wakati na...