HomeNyuma ya Pazia

Nyuma ya Pazia

Watu 1,066 wapoteza maisha ajali za barabarani

Na Mwandishi Wetu WAZIRI wa Mambo ya Ndani, Patrobas Katambi amesema jumla ya Watu 1,066 wamepoteza maisha kwa ajali za barabarani katika kipindi cha Julai 2024 hadi Aprili 2025 ikilinganishwa na Watu 1,275 waliopoteza maisha katika kipindi kama hicho cha mwaka 2025/2026.Katambi ameyasema hayo leo...

Maombi ya Lissu kusikilizwa Juni 2, arudishwa rumande

Na Mwandishi Wetu MAHAKAMA Kuu ya Tanzania, Masijala Ndogo ya Dar es Salaam, imepanga kusilikiza shauri la Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu linalohusu maombi ya kuunganishwa katika kesi inayohusu mgawanyo wa mali za chama hicho. Shauri hilo limetajwa leo Mei 25,...
spot_img

Keep exploring

Jengo makao makuu ya mahakama liongeze kasi, ari ya upatinakaji haki

JUMAMOSI ya wiki iliyopita, yaani Aprili 5, 2025 kuna jambo kubwa lilitokea jijini Dodoma....

Bado watu wanapotea, yu wapi wa kuzuia hali hii?

ASKOFU wa Dayosisi ya Karagwe ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania, Dk. Benson...

Makalla aisaidie Polisi, Wizara ya Afya kuhami Watanzania

TANZANIA ilipata kushuhudia wanasiasa wasiotabirika, wenye kauli za kuchanganya na hadaa nyingi. Wapo ambao...

Mgombea binafsi ameingilia mlango wa nyuma

YAMEKUWAPO mapendekezo mengi ya kuboresha mfumo wa kuendesha siasa za Tanzania kwa kitambo sasa....

Umeme wa nje: Tutaepuka vipi vipigo vya nyuma?

Mwanzoni mwa wiki hii iliibuka habari kubwa iliyotokana na tamko la Rais wa Jamhuri...

Tujiruhusu kufikiri kwa upya, tuache ulegevu

JUMATATU wiki hii nilipata wasaa wa kuingia katika mazingira kilipokuwa kiwanda cha nguo cha...

Wafe wangapi ndipo tudhibiti madereva bodaboda?

YAPO mambo yanayotambulisha viwango vya maendeleo ya jamii na nchi kwa ujumla. Miongoni mwa...

Bidhaa ‘feki’ zadidimiza Watanzania lindi la umasikini

Watanzania wanazidi kunasa katika mzunguko wa umasikini unaosababishwa na kushamiri kwa bidhaa duni na...

Rwanda, Uganda, M23 watia kiza Jumuiya Afrika Mashariki

TUPO mwezi wa pili tu wa mwaka 2025, lakini kuna kila dalili kwamba unakwenda...

Chadema na uwazi, CCM na ‘ambush’

JANUARI 2025 ni mwezi utakaoacha kumbukumbu kubwa ya kihistoria katika siasa za Tanzania. Matukio...

CCM imefanya mapinduzi baridi Dodoma

KWA miaka mingi sasa Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimekuwa na utaratibu ambao unajulikana wazi...

Utekaji huu sasa yatosha!

MWISHONI mwa wiki kulikuwa na taharuki kubwa kwenye mitandao ya kijamii kufuatia taarifa za...

Latest articles

Watu 1,066 wapoteza maisha ajali za barabarani

Na Mwandishi Wetu WAZIRI wa Mambo ya Ndani, Patrobas Katambi amesema jumla ya Watu 1,066...

Maombi ya Lissu kusikilizwa Juni 2, arudishwa rumande

Na Mwandishi Wetu MAHAKAMA Kuu ya Tanzania, Masijala Ndogo ya Dar es Salaam, imepanga kusilikiza...

Ofisi ya Msajili wa Hazina yatoa wito wa utawala bora kuimarisha uwekezaji wa umma

Na Mwandishi Wetu OFISI ya Msajili wa Hazina (OMH) imesisitiza kuwa mustakabali wa mafanikio...

TTB yamkaribisha bingwa wa Masumbwi duniani Terence kwa ziara ya utalii

Na Mwandishi Wetu MKURUGENZI wa Bodi ya Utalii Tanzania (TTB), Ephraim Mafuru, amemkaribisha nchini...