Na Mwandishi Wetu
WAZIRI wa Mambo ya Ndani, Patrobas Katambi amesema jumla ya Watu 1,066 wamepoteza maisha kwa ajali za barabarani katika kipindi cha Julai 2024 hadi Aprili 2025 ikilinganishwa na Watu 1,275 waliopoteza maisha katika kipindi kama hicho cha mwaka 2025/2026.Katambi ameyasema hayo leo...
Na Mwandishi Wetu
MAHAKAMA Kuu ya Tanzania, Masijala Ndogo ya Dar es Salaam, imepanga kusilikiza shauri la Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu linalohusu maombi ya kuunganishwa katika kesi inayohusu mgawanyo wa mali za chama hicho.
Shauri hilo limetajwa leo Mei 25,...