HomeNyuma ya Pazia

Nyuma ya Pazia

Natoa nishani ya uthubutu kwa Kanisa Katoliki 2025

Siyo hulka yangu kujadili masuala ya dini katika chambuzi ninazofanya. Wala, sikusudii kujikita kuibua mijadala ya kiimani katika maandishi yangu, siyo leo wala siku za usoni. Ila leo itoshe tu kusema kwamba wakati tumeufunga mwaka 2025 na kuukaribisha mwaka mpya wa 2026, kama taifa...

Benki ya CRDB yafunga mwaka kwa kukabidhi zawadi ya magari kwa washindi wa Simbanking

Na Mwandishi Wetu BENKI ya CRDB, imemkabidhi Deo Ferdinand Mlawa na wenzake watano zawadi wazojishindia katika droo kubwa ya kampeni kubwa inayohamasisha matumizi ya huduma za benki kupitia simu ya mkononi kwa mwaka 2025. Mlawa wa Mikocheni jijini Dar es Salaam alitangazwa mshindi wa jumla...
spot_img

Keep exploring

Ni nyakati za hatari, utu umetupwa kule

KUNA kila dalili kwamba dunia kwa ujumla wake imekumbwa na hali ya kutia shaka...

Trump katukumbusha tena, sisi siyo watu

KAMA kuna jambo la kujifunza juu ya Uafrika na Afrika ni uamuzi wa juzi...

Nani hasa mnufaika wa umwagaji wa damu nchini?

Imemwagika nyingine tena. Hii ni damu ya raia wa Tanzania. Kidogo kidogo taifa linataka...

Shivji kawaanika wasomi wa sasa

HIVI karibuni nilipata fursa ya kusoma kitabu cha Edward Moringe Sokoine: Maisha na Uongozi...

Naamini ‘wagonjwa’ wa PhD wamesikia somo la Malawi

Malawi ni miongoni mwa nchi ndogo za barani Afrika. Kati ya nchi 54 za...

Jengo makao makuu ya mahakama liongeze kasi, ari ya upatinakaji haki

JUMAMOSI ya wiki iliyopita, yaani Aprili 5, 2025 kuna jambo kubwa lilitokea jijini Dodoma....

Bado watu wanapotea, yu wapi wa kuzuia hali hii?

ASKOFU wa Dayosisi ya Karagwe ya Kanisa la Kiinjili la Kilutheri Tanzania, Dk. Benson...

Makalla aisaidie Polisi, Wizara ya Afya kuhami Watanzania

TANZANIA ilipata kushuhudia wanasiasa wasiotabirika, wenye kauli za kuchanganya na hadaa nyingi. Wapo ambao...

Mgombea binafsi ameingilia mlango wa nyuma

YAMEKUWAPO mapendekezo mengi ya kuboresha mfumo wa kuendesha siasa za Tanzania kwa kitambo sasa....

Umeme wa nje: Tutaepuka vipi vipigo vya nyuma?

Mwanzoni mwa wiki hii iliibuka habari kubwa iliyotokana na tamko la Rais wa Jamhuri...

Tujiruhusu kufikiri kwa upya, tuache ulegevu

JUMATATU wiki hii nilipata wasaa wa kuingia katika mazingira kilipokuwa kiwanda cha nguo cha...

Wafe wangapi ndipo tudhibiti madereva bodaboda?

YAPO mambo yanayotambulisha viwango vya maendeleo ya jamii na nchi kwa ujumla. Miongoni mwa...

Latest articles

Natoa nishani ya uthubutu kwa Kanisa Katoliki 2025

Siyo hulka yangu kujadili masuala ya dini katika chambuzi ninazofanya. Wala, sikusudii kujikita kuibua...

Benki ya CRDB yafunga mwaka kwa kukabidhi zawadi ya magari kwa washindi wa Simbanking

Na Mwandishi Wetu BENKI ya CRDB, imemkabidhi Deo Ferdinand Mlawa na wenzake watano zawadi...

SMZ yapongeza udhamini mnono wa NMB Mapinduzi Cup

Na Mwandishi Wetu, Zanzibar SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ), imeipongeza Benki ya NMB kwa...

Mwakinyo ashinda kwa K.O, afichua siri

Na Winfrida Mtoi Bondia wa ngumi za kulipwa nchini, Hassan Mwakinyo ameibuka mshindi kwa K.O...