Na Mwandishi Wetu
MAMLAKA ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) imetangaza mpango wa kuongeza idadi ya vyuo vyake kutoka 80 vya sasa hadi 152 ifikapo mwaka 2027, hatua inayotarajiwa kuongeza udahili wa wanafunzi hadi kufikia 250,000 kwa mwaka.
Hatua hiyo inalenga kusogeza huduma...
Na Mwandishi Wetu
MWANASHERIA Mkuu wa Serikali, Hamza S. Johari amewaongoza Mawakili wa Serikali kutoa huduma za ushauri wa Kisheria kwa wananchi wakati wa Kliniki ya Sheria bila malipo iliyozinduliwa tarehe 16 Februari, 2026 katika Viwanja vya Mnazi Mmoja Jijini Dar es Salaam.
Johari amemuhudumia...