Na Mwandishi wa OTR
Dar es Salaam. Gawio na michango mingine ambayo Serikali imepokea kutoka taasisi za umma pamoja na kampuni ambazo ina hisa chache kwa mwaka wa fedha 2025/26 imeongezeka kwa asilimia 30 ikilinganishwa na mwaka uliopita, hatua inayoakisi kuimarika kwa usimamizi wa uwekezaji...
📌 Waziri Ndejembi amtaka mkandarasi kukamilisha ukarabati kwa wakati bila kuongezewa muda wa mkataba
📌 Kukamilika kwake kutaongeza ufanisi wa uzalishaji na kuimarisha upatikanaji wa umeme wa uhakika Mkoa wa Tanga na maeneo ya jirani
Na Mwandishi Wetu, Korogwe – Tanga
Serikali imeendelea kusimamia utekelezaji wa miradi...