Na Mwandishi Wetu
SERIKALI imesema iko tayari kufufua na kuboresha skimu ya Umwagiliaji Matipwili iliyopo Kata ya Mkangwe, Wilaya ya Bagamoyo mkoani Pwani.
Hayo yamebainika kufuatia mafunzo ya usimamizi, uendeshaji na matunzo ya miundombinu ya Umwagiliaji yanayotolewa na Tume ya Taifa ya Umwagiliaji, yakilenga...
Na Mwandishi Wetu
MSAJILI wa Hazina, Nehemiah Mchechu, amekutana na ujumbe wa kampuni ya madini ya AngloGold Ashanti kujadili maendeleo ya shughuli za kampuni hiyo na namna ya kuimarisha uhusiano wake na Tanzania.
Msajili wa Hazina, Bw. Nehemiah Mchechu, alifanya mazungumzo hayo Jumanne, Septemba 1,...