📌 Nyumba za wafanyakazi zakarabatiwa, kuboresha utendaji wa kazi
📌 Mtambo wa kisasa wa kuchakata maji wazinduliwa
📍 MWANGA, KILIMANJARO | Septemba 2, 2026
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limezindua na kukabidhi nyumba zilizokarabatiwa kwa wafanyakazi wa Kituo cha Kuzalisha Umeme kwa Maji cha Nyumba ya Mungu,...
Na Tatu Mohamed
WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Patrobas Katambi, ametoa onyo kwa makundi mbalimbali yanayojihusisha na shughuli za ulinzi bila kuwa na utambulisho na mamlaka rasmi, akisisitiza kuwa hakuna mtu au kundi linaloruhusiwa kujichukulia majukumu ya vyombo vya dola.
Katambi ametoa kauli hiyo...