Na Mwandishi Wetu
MAMLAKA ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) imetangaza kusitishwa kwa huduma ya maji kwa takribani saa 12 katika maeneo ya Dar es Salaam na Pwani, kesho Alhamisi, Septemba 10, 2026.Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano DAWASA, Bi Everlasting...
Na Mwandishi Wetu
Ofisi ya Msajili wa Hazina (OTR) imejizatiti kuongeza kasi ya mageuzi ya kitaasisi na kifedha yanayolenga kukuza Mapato yasiyo ya kodi (NTR), kuimarisha uendelevu wa kifedha wa taasisi za umma na kuhakikisha uwekezaji wa Serikali unazalisha tija na faida zaidi.
OTR imejiwekea lengo...