BADO tupo katika mtanziko. Ukisikiliza kwa makini yanayoendelea kwenye mitandao ya kijamii, kwenye vijiwe vya kahawa, kwenye baa na mikusanyiko mingine kuhusu hali ya kisiasa nchini Tanzania, yapo maswali magumu ambayo bado hayana majibu.
Maswali haya yanazunguka mduara mmoja, kwamba ni kwa nini neno maandamano...
Na Mwandishi Wetu
Klabu ya Mbeya City imefanikiwa kusalia Ligi kuu ya soka Tanzania bara kufuatia ushindi wa jumla wa 2-0 dhidi ya Tanzania Prisons kwenye michezo miwili ya mchujo (playoff) wa kusalia Ligi kuu.
Mbeya City iliibuka na ushindi wa 2-0 kwenye mchezo wa kwanza...