📌TANESCO yasema baadhi ya Mikoa ya Kanda ya Kati, Kanda ya Magharibi, Kanda ya Kaskazini, Kanda ya Kusini Magharibi na Kanda ya ziwa kupata umeme kwa ratiba maalumu
📌Lengo ni kumpisha Mkandarasi kuendelea na utekelezaji wa Mradi huo wa kusafirisha umeme Msongo wa Kilovolti 400...
▪️Watuhumiwa 14 wakamatwa na tuhuma za utoroshaji madini
▪️Waigeuza nyumba ya kupanga kama soko
▪️Waziri Mavunde aelekeza uchunguzi kuwabaini na kukamata wahusika zaidi
▪️Mgeni mmoja kutoka nje ya nchi ahusishwa na utoroshaji
▪️Madini,fedha na vitendea kazi vyashilikiwa na serikali
Ikiwa ni sehemu ya usimamizi thabiti wa sekta na kuhakikisha...