Na Mwandishi wa OTR
OFISI ya Msajili wa Hazina (OTR) Jumanne, Agosti 11, 2026, ilifanya mazungumzo na kampuni ya Fitch Ratings Ltd ikiwa ni sehemu ya mapitio ya pili ya mwaka 2026 ya tathmini ya Fitch Ratings, katika mchakato unaohusisha taasisi mbalimbali za Serikali.
Mazungumzo hayo...
KWENYE mitandao ya kijamii bado hakujatulia. Watunga riwaya na wabuni matusi dhidi ya Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Balozi Dk. Emmanuel Nchimbi, bado wanasaga meno. Wana hasira kubwa. Wamefura.
Hawa walianza kidogo kidogo vita dhidi yake ndani ya Chama Cha Mapinduzi...