Glasgow, Scotland
Mchezaji wa Judu, Andrew Mlugu, ameweka rekodi ya kuwa Mtanzania wa kwanza kutinga hatua ya robo fainali kwenye mashindano ya Jumuiya ya Madola 2026 yaliyofanyika Glasgow, Scotland kuanzia Julai 23 hadi Agosti 2, 2026.
Mlugu alihitimisha safari yake katika mashindano hayo baada ya kuishia...
Vijana na wanawake wapewa kipaumbele kunufaika na mnyororo wa thamani wa madini
Na Mwandishi Wetu
SERIKALI kupitia Tume ya Madini imefungua fursa za biashara zenye thamani ya mabilioni ya fedha katika migodi kwa Watanzania, huku vijana na wanawake wakipewa kipaumbele ili kuongeza ushiriki wao katika...