TAIFA limechafukwa. Kuchafukwa huku ni kutokana na kile ambacho maseneta wawili wa Marekani, Jeanne Shaheen na Ted Cruz wameandaa. Hiki ni muswada unaoitwa Reassessing the United States–Tanzania Bilateral Relationship Act kwa Kiswahili kisicho rasmi ni Muswada wa Sheria ya Mapitio ya Uhusiano wa Kimataifa...
Na Mwandishi Wetu
Klabu ya Azam imemuongezea mkataba kocha wake, Florent Ibenge, akiendelea kusalia katika klabu hiyo hadi mwaka 2028.
Kwa mujibu wa taarifa ya klabu hiyo, inaamini maarifa na uzoefu wa kocha huyo ni muhimu katika kufikia malengo yao.