▪️Watuhumiwa 14 wakamatwa na tuhuma za utoroshaji madini
▪️Waigeuza nyumba ya kupanga kama soko
▪️Waziri Mavunde aelekeza uchunguzi kuwabaini na kukamata wahusika zaidi
▪️Mgeni mmoja kutoka nje ya nchi ahusishwa na utoroshaji
▪️Madini,fedha na vitendea kazi vyashilikiwa na serikali
Ikiwa ni sehemu ya usimamizi thabiti wa sekta na kuhakikisha...
Na Mwandishi Wetu
MSAJILI wa Hazina, Nehemiah Mchechu, amekutana na kufanya mazungumzo na Rais na Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Biashara na Maendeleo (TDB), Admassu Tadesse, kuhusu namna benki hiyo inavyoweza kuendelea kushirikiana na Tanzania katika kuchochea maendeleo ya kiuchumi na kuimarisha ufanisi wa...