Na Mwandishi Wetu
WACHEZAJI wa mpira wa wavu 'volleyball' wanaoshiriki Ligi ya Mkoa wa Dar es Salaam wametakiwa kutumia jukwaa hilo kuonyesha vipaji vyao ili kujiongezea nafasi ya kuonekana na mawakala, timu za ndani na nje ya nchi.
Wito huo umetolewa na Mwenyekiti wa Kamati ya...
📍Yazindua vituo vya kuchajia vyombo vya usafiri vinavyotumia umeme
📍Wananchi kunufaika na mpango wa ukopeshaji wa majiko ya umeme kupitia LUKU
Na Mwandishi Wetu, Dodoma
Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limezindua mradi wa vituo vya kuchajia vyombo vya usafiri vinavyotumia umeme pamoja na Mpango wa Ukopeshaji wa...