📌 Operesheni ya ukaguzi wa mita yabaini matumizi yasiyo halali ya umeme eneo la Visiwani, Mwananyamala na Mivumoni
📌 TANESCO yawataka wananchi kutoa taarifa za vitendo vya wizi wa umeme
Na Mwandishi Wetu
SHIRIKA la Umeme Tanzania (TANESCO) limebaini matukio ya wizi wa umeme katika eneo...
Na Mwandishi Wetu
Kampuni ya Media Brains ikishirikiana na Shirika la Konrad Adenauer Stiftung (KAS) wameendesha mafunzo kwa waandishi wa habari wa mikoa ya Kagera na Geita jinsi ya kumudu uandishi wa kidijitali.
Mafunzo hayo yanayofadhiliwa na KAS ni muendelezo wa progamu ya kuwajengea uwezo waandishi...