Na Tatu Mohamed
JUMLA ya watahiniwa 1,168,649 kutoka shule 20,019 Tanzania Bara wanatarajiwa kufanya Mtihani wa Kumaliza Elimu ya Msingi (PSLE) kesho na keshokutwa (Septemba 9 na 10, 2026), huku Baraza la Mitihani la Tanzania (NECTA) likisisitiza uadilifu na ushirikiano wa jamii katika...
Na Mwandishi Wetu
SHIRIKA la Umeme Tanzania (TANESCO) limekabidhiwa tuzo ya kwa kutambua mchango wa kipekee katika ubunifu na maendeleo ya sekta ya Nishati nchini ikiwa ni sehemu ya kutambua mchango wa Shirika katika kuendeleza sekta hiyo.
Tuzo hiyo imekabidhiwa kwa Shirika la Umeme Tanzania...