HomeNyuma ya Pazia

Nyuma ya Pazia

DC Mpogolo: viongozi wa Serikali za Mitaa ni watu muhimu Katika Usimamizi wa Huduma za Umeme

Na Tatu Mohamed VIONGOZI wa Serikali za Mitaa wametajwa kuwa watu muhimu katika kusimamia miundo mbinu ya umeme kutokana na ukaribu wao na wananchi na nafasi yao katika kuratibu taarifa za huduma katika maeneo yao. Akizungumza leo Novemba 20, 2025 wakati akifungua mafunzo maalumu kwa viongozi...

Rais Samia aagiza Tume kuchunguza, kujua haki wanayoidai vijana

Na Mwandishi Wetu RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk.Samia Suluhu Hassan ameielekeza Tume Huru ya Uchunguzi matukio yaliyotokea uchaguzi mkuu uliofanyika Oktoba 29, 2025, kuchunguza sababu ya vijana walioingia barabarani siku hiyo kudai haki na  kujua ni haki gani wanadai ili waweze kuifanyia...
spot_img

Keep exploring

Yajayo baada ya uchaguzi mkuu yahitaji hekima kubwa

JUMATANO ijayo, OKTOBA 29, 2025, taifa la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania linakwenda kuongeza...

Nani anayapa magenge ya utekaji jeuri?

KUANZIA leo Alhamisi Oktoba 16, 2025 taifa la Tanzania linahesabu siku 12 tu kufikia...

Kiti Baraza la Usalama kitaondoa maafa Afrika?

MKUTANO Mkuu wa Baraza la Umoja wa Mataifa wa 80 ulimalizika jijini New York,...

Ni ushindani tu utafuta aibu ya Mwendokasi

MIONGONI mwa viongozi wakuu waliopata kuiongoza Tanzania na kukumbana na upinzani mkubwa katika kurekebisha...

Ukatili huu wa Polisi unawapa faraja gani?

UKATILI uliofanywa na baadhi ya askari polisi dhidi ya raia waliokuwa wanakwenda kusikiliza kesi...

Polepole achana na gia ya wamachinga, ni donda ndugu

HIVI karibuni Humphrey Polepole, mwanasiasa machachari na aliyewahi kuwa balozi wa Tanzania nchini Malawi...

Ninatamani Tume ya Charles Keenja irudi Dar es Salaam

TAIFA lipo katika kampeni za uchaguzi mkuu ambao ni mahususi kusaka madaraka ya dola....

Hizi ndizo hisia dhidi ya INEC, Msajili wa Vyama vya Siasa

KATIKA safu hii wiki iliyopita niliandika uchambuzi nikihoji, ‘INEC, Msajili wa Vyama wanaweza kutupa...

INEC, Msajili wa Vyama wanaweza kutupa uchaguzi huru?

WASHABIKI wa mpira wana msemo wao kwamba kila timu ishinde mechi zake. Kwa maana...

Eti na hawa wanautaka urais, aibu

MIAKA 10 ya mwanzo ya kurejea kwa mfumo wa vyama vingi nchini, kati ya...

Ndugai ameenda: Aacha somo gumu

JUMATANO ya Agosti 6, 2025 Spika wa Bunge, Dk. Tulia Ackson, alitangaza kifo cha...

CCM imesikia kilio cha wanachama wake, kwa nini masikio hayo hayavuki mpaka?

Na Jesse Kwayu JUMATATU wiki hii, yaani Agosti 4, 2025, Chama Cha Mapinduzi (CCM) kilihitimisha...

Latest articles

DC Mpogolo: viongozi wa Serikali za Mitaa ni watu muhimu Katika Usimamizi wa Huduma za Umeme

Na Tatu Mohamed VIONGOZI wa Serikali za Mitaa wametajwa kuwa watu muhimu katika kusimamia miundo...

Rais Samia aagiza Tume kuchunguza, kujua haki wanayoidai vijana

Na Mwandishi Wetu RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk.Samia Suluhu Hassan ameielekeza Tume...

Bado denial inasuta nafsi za wengi, hatuwezi kupona

LEO ni siku ya 23 tangu risasi ya kwanza ilipofyatuliwa na kuua vijana waliokuwa...

Watoto mapacha wajinyonga Zanzibar, kisa kazi za ndani

Na Mwandishi Wetu Jeshi la Polisi Mkoa wa Kaskazini Pemba linachunguza tukio la kujinyonga kwa...