Na Tatu Mohamed
WAZIRI wa Viwanda na Biashara, Judith Kapinga amesema sekta ya viwanda na biashara inaendelea kuwa chachu ya ajira na fursa za kiuchumi kwa vijana, hususan kupitia upanuzi wa masoko ya kimataifa na uimarishaji wa uzalishaji wa ndani.
Akizungumza na waandishi wa habari...
Na Mwandishi Wetu
JESHI la Polisi Mkoa wa Morogoro limesema linachunguza tukio la kuchoma moto na kuharibu magari mawili yaliyotumika kusafirishia mwili wa marehemu, tukio lililofanywa na waombolezaji wa msiba wakidaiwa kutilia mashaka mazingira ya kifo cha marehemu.
Tukio hilo limetokea jana Disemba 17, 2025 katika Wilaya ya...