📌Asema TANESCO inajenga vituo vya kuchajia vyombo hivyo nchi nzima
📌Aeleza mpango wa kusambaza majiko sanifu ya umeme takribani Mil 1
📌Awapongeza Wafanyakazi kwa ubunifu na jitihada za kuwahudumia wateja kwa ufanisi
Na Mwandishi Wetu
MKURUGENZI Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), Bw. Lazaro Twange, amewaondoa...
MSIMU wa siasa za masimango na kubaguana umerejea tena na kushika kasi. Safari hii vyombo vya juu kabisa vya uwakilishi wa wananchi vimekuwa ndiyo jukwaa mahususi kwa ajili ya kusukuma siasa za kuonyeshana jinsi ambavyo ni vigumu kwa Watanzania kupikika chungu kimoja. Siasa za...