📌 Lengo ni kuimarisha na kuhifadhi mazingira
📌 Maeneo yenye vyanzo vya maji vinavyochangia uzalishaji wa umeme kupewa kipaumbele
Na Mwandishi Wetu
Mkuu wa Wilaya ya Mbarali, Brigedia Jenerali Maulid Surumbu, ameongoza zoezi la upandaji miti katika maeneo yaliyopitiwa na Mradi wa Kusafirisha Umeme wa Tanzania–Zambia...
Na Mwandishi Wetu
WACHEZAJI wa mpira wa wavu 'volleyball' wanaoshiriki Ligi ya Mkoa wa Dar es Salaam wametakiwa kutumia jukwaa hilo kuonyesha vipaji vyao ili kujiongezea nafasi ya kuonekana na mawakala, timu za ndani na nje ya nchi.
Wito huo umetolewa na Mwenyekiti wa Kamati ya...