Na Mwandishi wetu
Rufiji - Pwani
MADIWANI wa Halmashauri za Wilaya za Mpanda na Nsimbo mkoani Katavi, wakiongozana na baadhi ya wabunge na viongozi wengine, wamepongeza uwekezaji mkubwa uliofanywa na Serikali katika Kituo cha Kufua Umeme cha Julius Nyerere (JNHPP) baada ya kujionea kwa karibu uendeshaji...
📌Asema TANESCO inajenga vituo vya kuchajia vyombo hivyo nchi nzima
📌Aeleza mpango wa kusambaza majiko sanifu ya umeme takribani Mil 1
📌Awapongeza Wafanyakazi kwa ubunifu na jitihada za kuwahudumia wateja kwa ufanisi
Na Mwandishi Wetu
MKURUGENZI Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO), Bw. Lazaro Twange, amewaondoa...