Na Tatu Mohamed
SHIRIKA la Mawasiliano Tanzania (TTCL) limesema litaendelea kuimarisha huduma za mawasiliano nchini kwa kutumia Mkongo wa Taifa wa Mawasiliano, kupanua huduma za kidijitali na kuwekeza katika teknolojia za kisasa ili kuongeza mchango wake katika maendeleo ya uchumi wa kidijitali nchini.
Mkurugenzi Mkuu wa...
Na Mwandishi Wetu
TANZANIA na Urusi zimesaini Hati ya Makubaliano (MoU) ya ushirikiano katika sekta ya utalii, hatua inayolenga kuimarisha uhusiano kati ya nchi hizo mbili na kuongeza fursa za utalii, biashara na uwekezaji.
Makubaliano hayo yanaenda sambamba na kuanza kwa safari za moja kwa...