MEI mwaka huu picha mjongeo ya mahojiano kati ya Inspekta Jenerali wa Polisi Mstaafu, Omar Mahita na M&S Podcast, ilisambaa kama moto wa nyika kwenye mitandano ya kijamii. Pengine kikubwa kilichosababisha hali hiyo ni mada alizozungumza IGP Mstaafu Mahita. Mahita alitumika kama IGP kuanzia...
Na Mwandishi Wetu
BODI ya Bima ya Amana (DIB) imewahimiza wananchi kutembelea banda lake katika Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba) ili kujifunza kuhusu haki zao na namna amana zao zinavyolindwa pindi benki au taasisi ya fedha inapofungwa.
Wito huo...