KAMPUNI ya Zara Tanzania Adventures imezindua rasmi kampeni ya Twenzetu Kileleni – Msimu wa Tano, inayolenga kuhamasisha Watanzania kushiriki utalii wa ndani kwa kupanda Mlima Kilimanjaro na kutembelea vivutio mbalimbali vya utalii nchini.
Uzinduzi wa kampeni hiyo umefanyika leo, Septemba 10, 2026, katika Ukumbi wa...
Na Mwandishi Wetu
MAMLAKA ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA) imetangaza kusitishwa kwa huduma ya maji kwa takribani saa 12 katika maeneo ya Dar es Salaam na Pwani, kesho Alhamisi, Septemba 10, 2026.Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano DAWASA, Bi Everlasting...