Na Mwandishi Wetu
MSANII wa filamu nchini, Hashim Kambi, amefariki dunia leo alasiri akiwa anapatiwa matibabu katika Hospitali ya Miko, jijini Dar es Salaam.
Taarifa za kifo cha Kambi zimethibitishwa na Rais wa Shirikisho la Filamu Tanzania (TAFF), Rajabu Amir, akiaeleza kuwa marehemu alipata changamoto ya...
Na Mwandishi Wetu
JESHI la Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam limewakamata watu 37 kwa tuhuma za makosa ya kimtandao ikiwemo kutoa vitisho na kutumia lugha chafu mtandaoni, hatua ambayo imeelezwa kuwa ni sehemu ya juhudi za kuimarisha usalama wa kidijitali katika Jiji la Dar...