Mwanadiplomasia nguli wa Tanzania, aliyewahi kuwa Balozi wa Tanzania nchini Nigeria na Mratibu Mkazi wa Umoja wa Mataifa nchini Eswatini na Namibia, Timothy Bandora (72), anatarajia kuzikwa kesho Desemba 16, 2025, katika Makaburi ya Kinondoni.
Balozi Bandora alifariki dunia wiki iliyopita akiwa jijini Nairobi, nchini...
Na Tatu Mohamed
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais – Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Ridhiwani Kikwete, amesema Serikali imejipanga kuimarisha utendaji wa watumishi wa umma pamoja na kuendeleza mageuzi ya kidijitali katika utoaji wa huduma kwa wananchi.
Akizungumza na waandishi wa...