Na Mwandishi Wetu
MFANYABIASHARA na mwekezaji wa Tanzania, Rostam Azizi, ametangaza uwekezaji mkubwa wa kimkakati ndani ya Kampuni ya Nation Media Group (NMG), hatua inayoanzisha zama mpya za Mwafrika kumiliki kiasi kikubwa cha hisa katika moja ya taasisi kubwa zaidi za habari Afrika Mashariki.
Kupitia kampuni...
Na Mwandishi wetu
TANZANIA iko katika hatua za awali za upembuzi wa kushiriki katika mradi wa Jumuiya ya Ulaya (EU P111) mradi wenye lengo la kuimarisha udhibiti wa mabaki hatarishi ya kemikali katika nchi za ukanda wa Afrika Mashariki na Kati.
Hayo yamesemwa Jijini Dar es...