Na Mwandishi Wetu
MKURUGENZI wa Mawasiliano ya Rais, Ikulu, Bakari Machumu amejiuzulu nafasi ya makamu mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF).Machumu amekabidhi barua ya kujiuzulu kwake kwa Mwenyekiti wa TEF, Deodatus Balile, leo Jumatano Novemba 26, 2025 alipokutana na wahariri kwenye kikao cha ndani,...
Na Winfrida Mtoi
Jumla ya wanariadha wanawake 155, wanatarajiwa kushiriki katika msimu wa saba wa mashindano ya riadha maarufu 'Ladies First' yatakayofanyika kuanzia Novemba 29 hadi 30, 2025 kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam.
Mashindano hayo yanayofanyika kwa ushirikiano wa Baraza la Michezo la...