Na Mwandishi Wetu
WAKATI Yanga ikitarajiwa kushuka dimbani kesho Machi 18, 2026 kuikabili TRA United katika Ligi Kuu Tanzania, timu hiyo itawakosa wachezaji wake muhimu wanaokabiliwa na majeraha akiwamo mshambuliaji Laurindo Dilson ‘Depu’.
Akizungumza na waandishi wa habari kuelekea mchezo huo utakaopigwa kesho saa 10:00 alasiri, katika Uwanja wa...
Na Mwandishi wetu
JUMLA ya vijana 3,967 kutoka maeneo mbalimbali nchini wamewasilisha maombi ya kupata uwezeshaji kupitia programu ya Go Green na IMBEJU inayotekelezwa na CRDB Bank Foundation, ikiwa ni ndani ya siku 30 tangu kufunguliwa kwa dirisha la maombi.
Programu hiyo ilizinduliwa Februari 12,...