Na Mwandishi Wetu
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, ametuma salamu za rambirambi kufuatia kifo cha Mwadhamu Polycarp Kardinali Pengo kilichotokea usiku wa Februari 19, 2026 jijini Dar es Salaam.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Mkurugenzi wa Mawasiliano ya Rais,...
Na Mwandishi Wetu
ALIYEKUWA Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Polycarp Kardinali Pengo amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 81.
Taarifa rasmi ya kifo chake imetolewa na Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki la Dar es Salaam, Yude Ruwai'chi, usiku...