Na Mwandishi Wetu
MWENYEKITI wa Kamati ya Kudumubya Bunge ya Afya na Masuala ya UKIMWI, Dkt. Johanes Lukumay ametoa pongezi kwa uongozi wa TMDA kufuatia kazi nzuri ya udhibiti inayofanywa na Mamlaka ya kulinda afya ya jamii.
Pongezi hizo amezitoa tarehe 12 Februari, 2026...
Na Mwandishi Wetu
NAIBU Waziri wa Wizara ya Uchukuzi, David Kihenzile, ametembelea ujenzi wa ofisi za Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) zilizopo Sinza Simu 2000, jijini Dar es Salaam.
Ujenzi huu, unaofadhiliwa na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, unalenga kuongeza...