Na Mwandishi Wetu
OFISI ya Msajili wa Hazina (OMH) imeanza zoezi la uchambuzi wa mipango na bajeti za taasisi na mashirika ya umma, likilenga kuimarisha mchango wa taasisi hizo katika utekelezaji wa Dira 2050.
Akizungumza kuhusu zoezi hilo, Alhamis, Aprili 2, 2026, Joseph Mwaisemba, Mkurugenzi Msaidizi...
JUMATATU wiki hii taifa lilishuhudia Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere, akiwasilisha kwa Rais Samia Suluhu Hassan, taarifa ya ukaguzi wa hesabu za serikali kwa mwaka 2024/25. Kwa kifupi Kichere alisema hati zilizotolewa ‘zinaridhisha’ kwa kiwango cha asilimia 99...