Na Mwandishi Wetu
Mabao mawili yaliyofungwa na Clatous Chama yamefanikisha timu ya Singida Bs kutwaa ubingwa wa michuano ya Cecafa Kagame Cup kwa kuifunga Al Hilal mabao 2-1katika mchezo wa fainali uliopigwa leo Septemba 15, 2025, Uwanja wa KMC Complex Mwenye, Dar es Salaam.
Chama ametua...
Na Winfrida Mtoi
Kuelekea mchezo wa Ngao ya Jamii kesho Septemba 16,2025, makocha wa Simba na Yanga, Fadlu Davids na Romain Folz, kila mmoja ametambia ubora wa wachezaji wake katika kukabiliana na michezo migumu, huku wakijivunia maandalizi waliyofanya kuwa ndiyo yatakayoamua matokeo ya mchezo huo...