Na Tatu Mohamed
VIONGOZI wa Serikali za Mitaa wametajwa kuwa watu muhimu katika kusimamia miundo mbinu ya umeme kutokana na ukaribu wao na wananchi na nafasi yao katika kuratibu taarifa za huduma katika maeneo yao.
Akizungumza leo Novemba 20, 2025 wakati akifungua mafunzo maalumu kwa viongozi...
Na Mwandishi Wetu
RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk.Samia Suluhu Hassan ameielekeza Tume Huru ya Uchunguzi matukio yaliyotokea uchaguzi mkuu uliofanyika Oktoba 29, 2025, kuchunguza sababu ya vijana walioingia barabarani siku hiyo kudai haki na kujua ni haki gani wanadai ili waweze kuifanyia...