Na Winfrida Mtoi
NYOTA wa Simba Jonathan Sowah na Allasane Kante wamefungiwa michezo mitano na faini ya Sh 1,000,000 kila mmoja kwa kosa la kufanya vitendo visivyo vya kimichezo wakati wa mechi yao dhidi ya Azam FC.
Sowah amepewa adhabu hiyo kutokana na kumpiga kiwiko mchezaji...
Na Mwandishi Wetu
WAZIRI Mkuu, Dk. Mwigulu Nchemba amesema Serikali itayaendeleza mambo yote mema yaliyofanywa na aliyekuwa mbunge wa Peramiho mkoani Ruvuma, marehemu Jenista Mhagama ikiwemo kuimarisha ushirikiano kati ya Serikali na taasisi za kidini.
Ameitoa kauli hiyo leo Jumatatu, Desemba 15, 2025, wakati akiwasilisha salamu za...