Na Mwandishi Wetu
Mahakama Kuu Masjala Ndogo Dar es Salaam imetupilia mbali shauri la maombi ya kuidharau Mahakama hiyo lililokuwa linawakabili viongozi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo(Chadema) Makamu Mwenyekiti wa Chadema Bara, John Heche, Katibu Mkuu John Mnyika na wenzao.
Shauri hilo lilikuwa la madai...
Na Mwandishi Wetu
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Ridhiwani Kikwete, amesema yuko tayari kuitwa na Sekretarieti ya Maadili ya Viongozi wa Umma ili kujibu tuhuma zinazomhusisha na umiliki wa vituo vya mafuta vya Lake Oil.
Amesema hayo...