Na Mwandishi wetu, Dodoma
OFISI ya Msajili wa Hazina (OMH) leo, Januari 15, 2026 imeendesha semina maalumu kwa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Uwekezaji wa Mitaji ya Umma (PIC) katika Ukumbi wa Bunge, jijini Dodoma.
Semina hiyo ni sehemu ya utekelezaji wa utaratibu wa...
Na Mwandishi Wetu
Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) inatarajia kuzindua Kituo cha Kupoza na Kusambaza Umeme cha Mtera na Kusaini Mikataba ya kutekeleza mradi wa kusambaza umeme kwenye vitongoji 9,009 katika Mikoa yote Tanzania Bara.
Mkurugenzi Mkuu wa REA, Mhandisi Hassan Saidy amesema hayo...