Rostam Aziz ainunua Nation Media ya Kenya

Na Mwandishi Wetu

KAMPUNI ya Taarifa Limited inayomilikiwa na mfanyabiashara Rostam Aziz imeingia makubaliano ya kununu hisa za Taasisi ya Aga Khan inazomiliki katika kampuni ya Nation Media Group nchini Kenya.

Taarifa iliyotolewa na Taasisi ya Agakhan leo Machi 10, 2026 kutoka Neneva, Uswisi, imesema kuwa kampuni ya Taarifa Limited, imenunua hiza zote  asilimia  54.08 inazomiliki katika kampuni ya Nation.

Mchakato wa kukamilisha mauziano hayo umepangwa kuchukua kati ya miezi mitatu au minne, kutoka Mamlaka za Udhibiti za Kenya.

Hatua ya Rostam Aziz kununua hisa hizo unamrejesha tena mfanyabiashara huyo kuwa miongoni mwa wamiliki wakubwa  vyombo vya habari  Afrika Mashariki.

Kwa hapa nchini vyombo vya  habari vilivyopo ni Mwananchi Communication inayochapisha magazeti ya Mwananchi, Mwanasporti na The Citizen.

spot_img

Latest articles

Sangweni: Sekta ya Mafuta na Gesi Ni Chachu ya Ukuaji wa Uchumi wa Taifa

Na Mwandishi Wetu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli...

VETA Kihonda yaja ‘cold room’ kupunguza upotevu wa mazao ya wakulima

Na Mwandishi Wetu UBUNIFU wa mfumo jumuishi wa kuhifadhi mazao kwa kutumia teknolojia ya ubaridi...

Ofisi ya Msajili wa Hazina yalenga kukusanya Sh2 trilioni mwaka 2026/27

Na Mwandishi Wetu OFISI ya Msajili wa Hazina (OTR) imejiwekea lengo la kukusanya Sh2...

MAULIDI KITENGE AUNGANA NA TANESCO KUHAMASISHA NISHATI SAFI YA KUPIKIA KWA UMEME

📌 Aahidi kutumia jukwaa lake kuhamasisha wananchi kutumia umeme kwa shughuli za kupikia 📌 Ushirikiano...

More like this

Sangweni: Sekta ya Mafuta na Gesi Ni Chachu ya Ukuaji wa Uchumi wa Taifa

Na Mwandishi Wetu Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli...

VETA Kihonda yaja ‘cold room’ kupunguza upotevu wa mazao ya wakulima

Na Mwandishi Wetu UBUNIFU wa mfumo jumuishi wa kuhifadhi mazao kwa kutumia teknolojia ya ubaridi...

Ofisi ya Msajili wa Hazina yalenga kukusanya Sh2 trilioni mwaka 2026/27

Na Mwandishi Wetu OFISI ya Msajili wa Hazina (OTR) imejiwekea lengo la kukusanya Sh2...