Na Tatu Mohamed
ZAIDI ya wafanyakazi wa majumbani 700 wamepatiwa mafunzo maalum na kutunukiwa vyeti na Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA), kwa lengo la kuwawezesha kupata ujuzi mahususi kwa kazi zao.
Kwa mujibu wa Muwezeshaji wa mradi huo, Debora Mwageni, mafunzo hayo...
KADA wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Lameck Nyambara amechukua fomu ya kuwania Ubunge Jimbo la Segerea.
Kada huyo amekabidhiwa fomu hiyo leo Julai 01, 2025 katika Ofisi ya CCM wilaya ya Ilala na Katibu wa Chama cha Mapinduzi Wilaya ya Ilala Sylvester Yaredi.
Akizungumza mara ya...