📍Yapokea cheti cha pongezi kwa mchango wake katika kuendeleza elimu jumuishi
📍Utambuzi watolewa katika hafla maalum ya kuwapongeza wadau wa maendeleo wa UDSM
Na Mwandishi Wetu
SHIRIKA la Umeme Tanzania (TANESCO) limetambuliwa na Chuo Kikuu cha Dar es Salaam (UDSM) kama miongoni mwa sekta wezeshi zinazochangia maendeleo...
Na Mwandishi Wetu
MAMLAKA ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam (DAWASA), imeanza rasmi zoezi la kufunga Pampu 3 kati ya Pampu 7 zilizowasili mapema Mwezi Mei Mwaka huu zinazotarajia kuimarisha na kupunguza changamoto za kihuduma katika Mikoa ya Dar es salaam...