CAF yaipiga faini Simba, kucheza bila mashabiki

Na Mwandishi Wetu


Klabu ya Simba imepigwa faini ya Dola za Marekani 50,000 ( zaidi ya Sh. 100 milioni) na kuamriwa kucheza bila mashabiki katika mchezo wao ujao wa Ligi ya Mabingwa Afrika (CAF Champions League) dhidi ya Gaborone United ya Botswana, utakaopigwa kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa.

Uamuzi huo umetolewa na Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF) baada ya Simba kukutwa na makosa ya mashabiki wake kufanya vurugu na kuwasha fataki kwenye mchezo wa Kombe la Shirikisho msimu uliopita dhidi ya Al Masry ya Misri, uliopigwa katika uwanja huo huo.Katika mchezo huo uliofanyika Aprili 9, 2025 kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam, Simba ilishinda kwa penalti 4-1 na kufuzu nusu fainali ya michuano hiyo kufuatia matokeo ya jumla kuwa sare ya 2-2.

spot_img

Latest articles

Oktoba 29 siku ya giza, ifungue milango ya haki

OKTOBA 29, 2025 itabakia kuwa siku ya giza na machungu katika historia ya Jamhuri...

Fountain Gate yatoa kocha bora

Na Mwandishi Wetu Kocha wa timu ya Fountain Gate,  Mohamed Laizer amechaguliwa kuwa kocha bora...

Nyota JKT Queens aipigia hesabu Asec Mimosa

Na Winfrida Mtoi Mshambuliaji wa JKT Queens FC, Jamila Rajabu, amesema  amejipanga  kutengeneza  nafasi na...

Zungu achaguliwa kuwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Na Mwandishi Wetu MBUNGE mteule wa Jimbo la Ilala Mussa Azzan Zungu ameibuka mshindi...

More like this

Oktoba 29 siku ya giza, ifungue milango ya haki

OKTOBA 29, 2025 itabakia kuwa siku ya giza na machungu katika historia ya Jamhuri...

Fountain Gate yatoa kocha bora

Na Mwandishi Wetu Kocha wa timu ya Fountain Gate,  Mohamed Laizer amechaguliwa kuwa kocha bora...

Nyota JKT Queens aipigia hesabu Asec Mimosa

Na Winfrida Mtoi Mshambuliaji wa JKT Queens FC, Jamila Rajabu, amesema  amejipanga  kutengeneza  nafasi na...