Shughuli ya Wanamsimbazi imenoga kwa Mkapa

Na Winfrida Mtoi

MASHABIKI wa timu ya Simba wamejitokeza kwa wingi kuhakikisha wanashuhudia kilele cha Simba Day leo Septemba 10, 2025, burudani kutoka kwa wasanii mbalimbali ikiwa ni pamoja na utambulisho rasmi wa kikosi chao cha msimu mpya wa 2025/2026.

Klabu ya Simba inahitimisha sherehe hizo kwenye uwanja wa Benjamini Mkapa jijini Dar es Salaama baada ya wiki nzima kufanya shughuli mbalimbali za kijamiii katika maeneo mbalimbali nchini.

Wanamsimbazi hao waliotoka mikoa mbalimbali ya Tanzania, hamu ya kubwa ni kuona wachezaji wao wapya waliosajiliwa wakati wa utambulisho na katika mchezo wa kirafiki na Gor Mahia ya Kenya utakaopigwa saa 11:00 jioni.

spot_img

Latest articles

Oktoba 29 siku ya giza, ifungue milango ya haki

OKTOBA 29, 2025 itabakia kuwa siku ya giza na machungu katika historia ya Jamhuri...

Fountain Gate yatoa kocha bora

Na Mwandishi Wetu Kocha wa timu ya Fountain Gate,  Mohamed Laizer amechaguliwa kuwa kocha bora...

Nyota JKT Queens aipigia hesabu Asec Mimosa

Na Winfrida Mtoi Mshambuliaji wa JKT Queens FC, Jamila Rajabu, amesema  amejipanga  kutengeneza  nafasi na...

Zungu achaguliwa kuwa Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

Na Mwandishi Wetu MBUNGE mteule wa Jimbo la Ilala Mussa Azzan Zungu ameibuka mshindi...

More like this

Oktoba 29 siku ya giza, ifungue milango ya haki

OKTOBA 29, 2025 itabakia kuwa siku ya giza na machungu katika historia ya Jamhuri...

Fountain Gate yatoa kocha bora

Na Mwandishi Wetu Kocha wa timu ya Fountain Gate,  Mohamed Laizer amechaguliwa kuwa kocha bora...

Nyota JKT Queens aipigia hesabu Asec Mimosa

Na Winfrida Mtoi Mshambuliaji wa JKT Queens FC, Jamila Rajabu, amesema  amejipanga  kutengeneza  nafasi na...