Na Tatu Mohamed
MAMLAKA ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa mwelekeo wa mvua za msimu wa Masika kwa kipindi cha Machi hadi Mei 2026, ikitabiri uwepo wa mvua za wastani hadi juu ya wastani katika maeneo mengi ya pwani ya kaskazini pamoja na baadhi...
Na Mwandishi Wetu
KLABU ya Simba imeliandikia barua Jeshi la Polisi ili kuwachukulia hatua za kisheria wanachama na mashabiki wa klabu hiyo waliohusika na mkutano wa kutoa kashfa na maneno yasio ya staha kwa mwekezaji wao Mohamed Dewji (Mo).
Kwa mujibu wa taarifa rasmi...