Na Winfrida Mtoi
WADAU wa mchezo wakuogelea Afrika Mashariki wamekutana kujadili maendeleo ya mchezo huo, huku Serikali ya Tanzania ikiahidi kuunga mkono jitihada zao na kutatua changamoto zilizopo.
Kongamano hilo limefanyika leo Novemba 22, 2025 kwenye ukumbi wa PSSSF Tower jijini Dar es Salaam, likishirikisha zaidi...
Na Mwandishi Wetu
WAZIRI wa Nishati, Deogratius Ndejembi, amesema kuwa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limeendelea kufanya mageuzi makubwa katika kuboresha upatikanaji wa huduma ya umeme nchini hatua ambayo imeongeza imani na fursa mbalimbali za kiuchumi kwa wananchi.
Ndejembi ameyasema hayo Novemba 22, 2025, mkoani...