Na Mwandishi Wetu
NAIBU Waziri wa Nishati, Salome Makamba, amesema kuwa mradi wa upanuzi wa Kituo cha Kupokea na Kupoza Umeme cha Kinyerezi 1 Extension umekamilika rasmi, ikiwa ni pamoja na kufungwa kwa Transfoma yenye uwezo wa MVA 175.
Amesema hatua hii ni muhimu kwa...
Na Mwandishi Wetu
MBUNGE wa Jimbo la Peramiho, Jenista Joakim Mhagama (58) amefariki dunia leo Disemba 11, 2025 jijini Dodoma.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Spika wa Bunge Mussa Azan Zungu katika kikao cha Bunge, imethibitisha kuondokewa na mbunge huyo aliyehudumu kwa zaidi ya...