Na Mwandishi Wetu
WAZIRI wa Nishati, Deogratius Ndejembi amesema Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inayoongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan imewekeza zaidi ya Shilingi Bilioni 280 katika miradi mbalimbali ya umeme ili kuhakikisha upatikanaji wa uhakika wa nishati hiyo jijini Dar...
Na Mwandishi Wetu
WAZIRI wa Kilimo, Daniel Chongolo, amekutana na wawekezaji kutoka nchini China na kujadili uwekezaji katika Sekta ya Kilimo hususan kuongeza uzalishaji wa mazao, thamani na kuleta teknolojia za kisasa zitakazoleta tija kwa wakulima.
Mkutano huo umefanyika Januari 5, 2026, jijini Dar es Salaam...