Na Winfrida Mtoi
Simba imeshindwa kutamba nyumbani baada ya kufungwa na Petro de Luanda bao 1-0 kwenye Uwanja wa Benjamin Mkapa, jijjni Dar es Salaam.
Matokeo hayo yamewafanya mashabiki wa timu hiyo waliojitokeza kwa wingi kuondoka kwa unyonge uwanjani wakiwa hawaamini kilichotokea.
Wikiendi ijayo Simba itakuwa ugenini...
Na Winfrida Mtoi
WADAU wa mchezo wakuogelea Afrika Mashariki wamekutana kujadili maendeleo ya mchezo huo, huku Serikali ya Tanzania ikiahidi kuunga mkono jitihada zao na kutatua changamoto zilizopo.
Kongamano hilo limefanyika leo Novemba 22, 2025 kwenye ukumbi wa PSSSF Tower jijini Dar es Salaam, likishirikisha zaidi...