KUMKUMBUKA MAREHEMU BALOZI JUMA VOLTER MWAPACHU
Balozi Juma Volter Mwapachu (Mwenyezi Mungu Amrehemu), mwanasheria, mwanadiplomasia, msomi na mwandishi, alizaliwa Mwanza Jumapili tarehe 27 Septemba 1942 na alifariki tarehe 28 Machi 2025 Dar es Salaam, na kuzikwa Pande, Tanga, baada miongo karibu 6 ya utumishi wa...
Na Mwandishi Wetu
OFISI ya Msajili wa Hazina (OMH) imeanza zoezi la uchambuzi wa mipango na bajeti za taasisi na mashirika ya umma, likilenga kuimarisha mchango wa taasisi hizo katika utekelezaji wa Dira 2050.
Akizungumza kuhusu zoezi hilo, Alhamis, Aprili 2, 2026, Joseph Mwaisemba, Mkurugenzi Msaidizi...