Na Winfrida Mtoi
WADAU wa mchezo wakuogelea Afrika Mashariki wamekutana kujadili maendeleo ya mchezo huo, huku Serikali ya Tanzania ikiahidi kuunga mkono jitihada zao na kutatua changamoto zilizopo.
Kongamano hilo limefanyika leo Novemba 22, 2025 kwenye ukumbi wa PSSSF Tower jijini Dar es Salaam, likishirikisha zaidi...
Na Winfrida Mtoi
BAO pekee lililofungwa na Prince Dube dakika ya 58, limeipa Yanga alama tatu muhimu katika mchezo wa kwanza wa hatua ya makundi Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi AS FAR Rabat.
Ushindi huo wa bao 1-0, walioupata Wanajangwani hao kwenye Uwanja wa New Amaan...