Na Winfrida Mtoi
SHAMRASHAMRA kuelekea Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON-2025), zimezidi kupamba moto, hasa baada ya timu shiriki za michuano hiyo kuanza kuwasili nchini Morocco ambako yatafanyika mashindano hayo makubwa ya soka barani Afrika.
Mashindano hayo yayonatarajiwa kuanza Jumapili Desemba 21, 2025, yakishirikisha mataifa 24, yamekuwa...
Na Mwandishi Wetu
MWENYEKITI wa Jumuiya ya Wafanyabiashara Tanzania (JWT), Hamis Livembe, amesema mchakato wa uchaguzi wa viongozi wa jumuiya hiyo uliomalizika hivi karibuni ulikuwa wa haki, halali na uliozingatia taratibu zote, akikanusha madai kwamba uongozi uliopo umewekwa.
Akizungumza na waandishi wa habari, Livembe alisema uchaguzi...