Enock Koola (35), a staunch member of the ruling Chama Cha Mapinduzi (CCM) party who led the party primaries for the parliamentary seat in Vunjo in 2020, has once again collected nomination forms to contest for the same position. He is among several aspirants...
Na Mwandishi Wetu
Makamu wa Rais Dk. Philip Mpango ametoa wito wa kufanyika maboresho ya mfumo wa fedha na ufadhili wa maendeleo duniani ili kutoa nafuu ya riba, kuwa endelevu, unaotabirika na unaozingatia usawa na vipaumbele vya mataifa yanayoendelea.
Makamu wa Rais ametoa wito huo wakati...