NA MWANDISHI WETU
MAMLAKA ya Kudhibiti na Kupambana na Dawa za Kulevya ((DCEA), imefanikiwa kukamata lita 66,048 za kemikali bashirifu zilizokuwa zikiingizwa na kusafirishwa nchini kinyume cha sheria, katika operesheni maalum iliyofanyika jijini Dar es Salaam mwezi Aprili mwaka huu.
Akizungumza mbele ya waandishi wa habari...
Na Mwandishi Wetu
KAMPUNI kubwa ya nishati kutoka Marekani, Chevron Corporation imeeleza utayari wake wa kuwekeza nchini Tanzania katika shughuli za utafutaji wa mafuta na gesi asilia, hatua inayodhihirisha kuendelea kuimarika kwa mazingira ya uwekezaji katika sekta ya nishati nchini.
Hayo yameelezwa leo, Mei 12, 2026...