KATIKA siku za hivi karibuni nimemkumbuka sana Profesa Seithy Chachage (08.01.1955 – 09.07.2006). Huyu alikuwa Mwalimu wa wengi. Alifundisha wengi, mimi ni miongoni mwa watu waliopita kwenye mikono ya Profesa Chachage. Apumzike kwa amani. Fikra zangu kwa Mwalimu huyu nguli wa masuala la sosholojia...
📌 Lengo ni kupisha Mradi wa ujenzi wa njia ya kusafirisha umeme 220kV Masasi, Mahumbika
📌Zaidi ya Shilingi Bil 5.1 zimetengwa kwa ajili ya zoezi hilo
Na Mwandishi Wetu
SHIRIKA la umeme Tanzania ( TANESCO) limezindua rasmi zoezi la ulipaji fidia kwa wananchi wanaopisha mradi wa...