Na Mwandishi Wetu, Zanzibar
SERIKALI ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ), imeipongeza Benki ya NMB kwa kusaini mkataba mnono wa udhamini wa mashindano ya Mapinduzi Cup , unaobadili rasmi jina la michuano na sasa kuitwa NMB Mpinduzi Cup 2026.
NMB Mapinduzi Cup 2026 inashirikisha timu 10, zikiwemo...
Na Winfrida Mtoi
Bondia wa ngumi za kulipwa nchini, Hassan Mwakinyo ameibuka mshindi kwa K.O dhidi ya mpinzani wake Stanley Eribo kutoka Nigeria, baada ya kumaliza pambano katika raundi mbili.
Pambano hilo limemalizika usiku huu katika ukumbi wa Warehouse Masaki, jijini Dar es Salaam.
Akizungumzia pambano hilo,...