Na Mwandishi Wetu
CHUO Kikuu cha Dodoma (UDOM) kimebuni mfumo wa kidijitali unaowezesha wakulima kufuatilia ubora wa mazao yao baada ya kuvuna, hatua inayolenga kupunguza upotevu wa mazao, kuongeza thamani ya mazao yanayohifadhiwa na kuimarisha kipato cha wakulima.
Akizungumza katika Maonesho ya Kitaifa ya Wakulima 'Nanenane'...
Na Mwandishi Wetu
SHIRIKA la Biashara la Taifa Zanzibar (ZSTC) limesema ushirikiano wake na Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) umechangia kuongeza uzalishaji wa karafuu visiwani Zanzibar kupitia mikopo nafuu inayowawezesha wakulima kuboresha shughuli za kilimo.
Akizungumza katika Maonesho ya Kitaifa ya Wakulima 'Nanenane'...