Na Mwandishi wa OMH, Dar es Salaam
OFISI ya Msajili wa Hazina imekutana na kufanya mazungumzo na Balozi wa China nchini Tanzania, Chen Mingjian, pamoja na ujumbe wake, katika kikao kilicholenga kuimarisha ushirikiano wa kiuchumi, uwekezaji na mageuzi ya mashirika ya umma.
Mazungumzo hayo yalifanyika jijini...
Na Mwandishi Wetu
RAIS Samia Suluhu Hassan, ameunda Tume ya Uchunguzi wa Kijinai wa matukio ya ghasia yaliyotokea wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu Oktoba 29, 2025.Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na na Ofisi ya Katibu Mkuu Kiongozi, hatua hiyo ni kutekeleza mapendekezo ya Tume...