Na Tatu Mohamed
WAZIRI wa Nchi ofisi ya Rais Maendeleo ya Vijana, Joel Nanauka, ametangaza uzinduzi wa shindano la kitaifa la ubunifu lijulikanalo kama Vijana Uchumi Challenge, likilenga kuwapa vijana jukwaa la kutoa mawazo yatakayosaidia kukuza uchumi wa taifa na kukabiliana na changamoto za...
Na Winfrida Mtoi
IKIWA ni siku ya pili ya Mashindano ya Taifa ya mchezo wa kuogelea, waogeleaji wa klabu mbalimbali wameendelea kuchuana vikali kufatuta rekodi mpya, huku rekodi zikiendelea kuvunjwa.
Miongoni mwa waogeleaji waliofanikiwa kuvunja rekodi katika mashindano hayo ni Crissa Dillip kutoka klabu ya Tallis...