Na Mwandishi Wetu
RAIS Samia Suluhu Hassan amesema Serikali itachukua hatua kama ilivyoelekezwa na sheria na kama ilivyopendekezwa na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Serikali (CAG) ili kuondoa mapungufu yaliyobainishwa na CAG kwenye ripoti yake.
Ameeleza hayo leo, Machi 30, 2026, wakati akipokea ripoti za Mdhibiti...
Na Mwandishi Wetu
MKURUGENZI wa ufundi Shirikisho la Mpira wa Miguu kwa Watu wenye Ulemavu (TAFF), Shaban Msangi ameitembelea timu mpya ya soka kwa watu wenye ulemavu ya Unyanyembe mkoani Tabora ikiwa ni maandalizi ya Ligi Kuu Soka, itakayoanza Julai, 2026, jijini Dar es Salaam.
Msangi...