Na Mwandishi wetu
MAMLAKA ya Udhibiti Usafiri Ardhini (LATRA) imewataka Wasafirishaji nchini kuwa watulivu na kuepuka kupandisha nauli kiholela kufuatia ongezeko la bei za mafuta ya Dizeli, Petroli na Mafuta ya Taa kwa mwezi Aprili.
Akizungumza na waandishi wa habari leo Aprili 1, 2026, Mkurugenzi...
Na Mwandishi Wetu
WAZIRI Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali itaendelea kusimamia upatikanaji wa bidhaa za mafuta ya petroli na mafuta mengine ili kuhakikisha bei zake zinaendelea kuwa himilivu, licha ya kuwepo kwa changamoto za kiusalama za kikanda na kimataifa ikiwemo za Mashariki ya Kati...