Na Mwandishi Wetu
Mwanariadha nyota wa Tanzania, Sajinitaji Alphonce Simbu, ameendelea kufanya vizuri Boston Marathon baada ya kushika nafasi ya pili kwa mwaka wa pili mfululizo.
Katika mbio hizo zilizofanyika leo Jumatatu, Aprili 20, 2026, Boston, Marekani, Simbu amekimbia kwa muda wa 2:02:47, muda huo unamfanya...
Na Winfrida Mtoi
TANZANIA imethibishwa rasmi kuwa mwenyeji wa mashindano makubwa la urembo duniani ‘Miss World 2027’, huku Serikali ikisema imejipanga kuhakikisha linafanyika kwa mtindo wa pekee wa kuvutia ili kuandika historia duniani.
Mkataba wa kuwa mwenyeji wa mashindano hayo la 74, umesainiwa leo Aprili 20,...