Na Mwandishi Wetu
TAASISI ya Kudhibiti Ubora wa Mbegu Tanzania (TOSCI) imewahimiza wakulima kutumia mbegu bora zilizoidhinishwa, ikisema ndizo msingi wa kuongeza uzalishaji wa mazao, kuimarisha usalama wa chakula na kufanikisha azma ya Serikali ya kukuza mchango wa sekta ya kilimo katika uchumi wa...
Na Mwandishi Wetu
Bodi ya Usajili wa Wataalam wa Mipangomiji (TPRB) imeendelea kutoa huduma mbalimbali kwa wananchi na wadau katika Maonesho ya Kimataifa ya Sabasaba yanayoendelea jijini Dar es Salaam.
Katika banda la TPRB lililopo ndani ya Banda la Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo...