Na Mwandishi Wetu
WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mhe. Dkt. Leonard Akwilapo, ametembelea banda la Bodi ya Usajili wa Wataalam wa Mipangomiji (TPRB) katika Maonesho ya Kimataifa ya Sabasaba yanayoendelea jijini Dar es Salaam, na kujionea huduma mbalimbali zinazotolewa na bodi...
Na Tatu Mohamed
BODI ya Utalii Tanzania (TTB) imesema imeanzisha dawati maalumu katika Maonesho ya 50 ya Biashara ya Kimataifa ya Dar es Salaam (Sabasaba) kwa lengo la kutoa elimu kwa wananchi na wadau kuhusu Maonesho ya Kimataifa ya Utalii ya Swahili International Tourism...