📌 Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini yakagua Kituo cha Kupokea na Kupoza Umeme Mpomvu Geita
📌 Yaridhishwa na uwekezaji wa Serikali katika kuimarisha miundombinu ya umeme
📌 Serikali kuendelea kuboresha usambazaji wa umeme kukidhi mahitaji ya sekta ya madini na shughuli za...
📌 Watembelea mradi kuona ufanisi wake
📌 Shilingi bilioni 118 zatumika kutekeleza mradi
📌 Watoa rai awamu ya pili kuanza kwa kasi
Na Mwandishi wetu
KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imelipongeza Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) kwa usimamizi na utekelezaji mzuri wa Mradi...