Na Winfrida Mtoi
Waandaaji wa pambano la Dar Boxing Derby wameweka gari aina ya Crown ikiwa ni zawadi kwa mshindi kati ya mabondia wa ngumi za kulipwa Tony Rashid na Juma Choki.
Pambano hilo kubwa linatarajiwa kufanyika Julai 24, 2026 jijini Dar es Salaam, huku kila...
WIKI iliyopita haikuwa ya habari njema kwa Taifa la Tanzania huko duniani. Pamoja na kile kilichotokea Zanzibar kwa vyama vya ACT Wazalendo na Chama Cha Mapinduzi (CCM) kusaini Tamko la Pamoja la Maridhiano ya Kisiasa Zanzibar na Ajenda ya Utekelezaji wake, Jumuiya ya Madola...