📌 Watembelea mradi kuona ufanisi wake
📌 Shilingi bilioni 118 zatumika kutekeleza mradi
📌 Watoa rai awamu ya pili kuanza kwa kasi
Na Mwandishi wetu
KAMATI ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini imelipongeza Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) kwa usimamizi na utekelezaji mzuri wa Mradi...
Na Mwandishi wetu
BENKI ya CRDB imezindua kampeni yake mpya ya 'Fainali ndio Mpango na TEMBOCARD VISA', hatua inayolenga kuhamasisha matumizi ya malipo yasiyotumia fedha taslimu, kuongeza ubunifu katika huduma za kifedha, na kutoa zawadi kwa wateja wake.
Kampeni hii ni fursa ya kipekee kwa...