Na Mwandishi Wetu
MWENYEKITI wa Jumuiya ya Wafanyabiashara Tanzania (JWT), Hamis Livembe, amesema mchakato wa uchaguzi wa viongozi wa jumuiya hiyo uliomalizika hivi karibuni ulikuwa wa haki, halali na uliozingatia taratibu zote, akikanusha madai kwamba uongozi uliopo umewekwa.
Akizungumza na waandishi wa habari, Livembe alisema uchaguzi...
Na Tatu Mohamed
WAZIRI wa Viwanda na Biashara, Judith Kapinga amesema sekta ya viwanda na biashara inaendelea kuwa chachu ya ajira na fursa za kiuchumi kwa vijana, hususan kupitia upanuzi wa masoko ya kimataifa na uimarishaji wa uzalishaji wa ndani.
Akizungumza na waandishi wa habari...