Na Mwandishi Wetu
TAMASHA la IST Festival lililofanyika jana Februari 14, 2026 kwenye viwanja vya Fukwe za Coco jijini Dar es Salaam limekuwa jukwaa mahsusi la kuwafikia vijana na wanawake kwa kuwapatia fursa za uwezeshaji kiuchumi na elimu ya afya.
Kupitia tamasha hilo lililoandaliwa na...
Na Winfrida Mtoi
MASHINDANO ya mchezo wa kuogelea 'Taliss -IST Championship' yameanza leo Februari 14, 2026. yakishirikisha jumla ya vilabu 17, kutoka ndani na nje ya Tanzania, ikiwamo pia watu wenye mahitaji maalumu.
Michuano hiyo ya siku mbili iliyoandaliwa na klabu ya kuogelea ya Taliss- IST,...