Na Mwandishi Wetu
Yanga imeendeleza ubabe kwa Simba baada ya leo kutwaa ubingwa wa Ngao ya Jamii kwa mara nyingine ikiifunga ikishinda bao 1-0 katika mchezo uliopigwa leo Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam.
Ushindi huo unaifanya Yanga kuwa wababe wa Dabi ya Karikoo ikiwafunga...
Na Mwandishi Wetu
TAASISI ya CRDB Bank Foundation kwa kushirikiana na Shirika la Maendeleo la Ujerumani (GIZ) wamezindua rasmi programu ya Ajira Ye2 itakayowawezesha vijana na wanawake zaidi ya 500 kupata ajira na kukuza biashara zao kupitia mafunzo, mitaji na ushauri wa kitaalamu.
Akizungumza leo Septemba...