Na Mwandishi wetu, Dodoma
JUMLA ya Wapiga Kura 38,151 walioandikishwa katika Daftari la Kudumu la Wapiga Kura watashiriki katika uchaguzi wa marudio katika Kata za Malangali iliyopo Halmashauri ya Manispaa ya Sumbawanga Mkoa wa Rukwa na Mzinga iliyopo katika Halmashauri ya Jiji la Dar es...
Na Mwandishi Wetu
MAMLAKA ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) ikiongozwa na Kaimu Mkurugenzi Mkuu, Daniel Malanga, imepokea ugeni wa ziara kikazi kutoka Wizara Ujenzi na Uchukuzi wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar.
Ziara hiyo ilikuwa na lengo la kupata mwanga kuhusu hatua muhimu za...