Na Mwandishi Wetu
NAIBU Waziri wa Nishati, Salome Makamba, amesema viongozi wana deni kubwa la kusimamia utekelezaji wa miradi ya maendeleo sambamba na kusikiliza pamoja na kutatua kero za wananchi ili kufanikisha maendeleo ya kweli.
Salome ameyasema hayo Januari 8, 2026, mkoani Shinyanga wakati...
Na Mwandishi Wetu
MWAKA 2025 ulikuwa wa mafanikio makubwa kwa Ofisi ya Msajili wa Hazina, huku mageuzi katika mashirika ya umma yakiendelea kuonesha matokeo chanya kwa wingi.
Katika kipindi hiki, thamani ya uwekezaji wa Serikali iliongezeka hadi kufikia Sh92.3 trilioni Juni 2025, makusanyo ya mapato...