Na Mwandishi Wetu
Waziri Mkuu, Dk. Mwigulu Nchemba ameagiza kufunguliwa kwa Kanisa la Ufufuo na Uzima, huku akielekeza lipewe miezi sita ya uangalizi katika kuzingatia miiko, masharti na sheria za uendeshwaji wake.
Waziri Dk. Mwigulu amesema hayo wakati akizungumza na wakazi wa Kimara na Mbezi Luis...
Na Mwandishi Wetu
WAZIRI wa Nishati, Deogratius Ndejembi (Mb), ametoa wito kwa viongozi na watendaji wa Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) pamoja na Mamlaka ya Udhibiti wa Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA) kuhakikisha wanaimarisha ushirikiano katika kutekeleza miradi mikubwa ya kimkakati...