Na Tatu Mohamed
WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Rais – Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Ridhiwani Kikwete, amesema Serikali imejipanga kuimarisha utendaji wa watumishi wa umma pamoja na kuendeleza mageuzi ya kidijitali katika utoaji wa huduma kwa wananchi.
Akizungumza na waandishi wa...
Na Winfrida Mtoi
Bondia Ismail Khalid maarufu Boyka ametamba kutoa kipigo kikali kwa mpinza wake Hassan Ndonga ‘Tyson Wa Bongo’ hadi aombe maji ulingoni.
Bokya ameyasema hayo wakati wa mazoezi kuelekea pambano lao la siku ya Boxing On Boxing Day, Desemba 26,2025 House Masaki Jijini Dar...