Na Mwandishi Wetu
MWILI wa aliyekuwa Mbunge wa Peramiho (CCM), Jenista Mhagama unatarajiwa kuzikwa Jumanne ya Disemba 16, 2025 katika Kijiji cha Ruanda, Mbinga mkoani Ruvuma.
Mhagama ambaye amekuwa Mbunge wa Peramiho kuanzia mwaka 2005, amefariki dunia jana Alhamisi, Disemba 11, 2025 jijini Dodoma.
Ratiba...
Na Mwandishi Wetu
NAIBU Waziri wa Nishati, Salome Makamba, amesema kuwa mradi wa upanuzi wa Kituo cha Kupokea na Kupoza Umeme cha Kinyerezi 1 Extension umekamilika rasmi, ikiwa ni pamoja na kufungwa kwa Transfoma yenye uwezo wa MVA 175.
Amesema hatua hii ni muhimu kwa...