Media Brains

Bwege afariki dunia

Na Mwandishi Wetu MBUNGE wa zamani wa Jimbo la Kilwa Kusini, Mkoani Lindi, Selemani Bungara maarufu Bwege amefariki  leo mchana Machi 30,2026 wakati akipatiwa matibabu katika Hospitali ya binafsi iliyopo Kigamboni Jijini Dar es salaam,Kaka wa marehemu aitwaye Abbas Bungara amesema Bwege alifikishwa Hospitalini hapo...

Ripoti ya CAG yaibua mazito ujenzi wa uwanja wa AFCON Arusha

Na Mwandishi Wetu RIPOTI ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere imeanika mapungufu katika mchakato wa ununuzi na ujenzi wa uwanja wa mpira wa miguu jijini Arusha, unaojengwa kwa ajili ya mashindano ya fainali za Mataifa Afrika (AFCON). Kwa mujibu wa...
spot_img

Keep exploring

FEZA SCHOOLS YAJIVUNIA UWEKEZAJI, KUTOA WANAFUNZI BORA

Na Mwandishi Wetu Baada ya kufaulisha wanafunzi wote katika mtuhani wa kidato cha nne, Shule...

Ufaransa yaipatia Tanzania Sh bilioni 323.4

Na Mwandishi Wetu Serikali ya Tanzania na Shirika la Maendeleo La Ufaransa (AFD) wamesaini mikataba...

TANZANIA YAWEKA REKODI MKUTANO WA WAHASIBU WAKUU AFRIKA

Na Mwandishi Wetu Tanzania imeweka rekodi ya Mkutano wa Pili wa Wahasibu Wakuu wa Serikali...

TANZANIA KUPAMBANA NA JANGWA

Na Mwandishi wetu Serikali imejipambanua katika kupambana na kuenea kwa jangwa, kurejesha ardhi iliyoharibiwa pamoja...

Mandonga, Dulla Mbabe wavurugwa, ngumi za aina yake kupigwa Muleba Dec 26

Na Winfrida Mtoi Mabondia maarufu wa ngumi za kulipwa nchini, Karim Mandonga na Dulla Mbabe...

MAJALIWA- RAIS SAMIA AAGIZA FEDHA ZA MAADHIMISHO YA UHURU ZIELEKEZWE KUTOA HUDUMA ZA KIJAMII

Na Mwandishi Wetu Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amesema kuwa Rais Dk. Samia Suluhu Hassan ameelekeza...

Warioba aanika yote uchaguzi serikali za mitaa

Na Jesse Kwayu WAZIRI Mkuu Mstaafu ambaye pia ni Jaji mstaafu, Joseph Warioba amesema ana...

Dkt. Ndugulile kuzikwa Disemba 2, 2024, Bunge latoa utaratibu utakavyokuwa

Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania limetoa ratiba ya shughuli kuelekea mazishi ya...

TPC Moshi yainua elimu kupitia ufadhili na miundombinu ya kisasa

Na Safina Sarwatt, Moshi Zaidi ya wanafunzi 1,000 kutoka familia zenye mazingira duni wamefaidika na...

Dk. Biteko asisitiza kupiga kura ni haki ya Kikatiba

Na Mwandishi Wetu Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Dk. Doto Biteko amewahimiza Watanzania...

SACP Mahanga: Ulinzi viwanjani unahitaji ujasili

Na Mwandishi Wetu Mkuu wa Polisi Jamii Kamisheni ya Polisi Zanzibar, Kamishna Msaidizi Mwandamizi wa...

Ramovic awaita mashabiki uwanjani, anapenda kuitwa Tanzanian Machine

Na Winfrida Mtoi Kocha Mkuu wa Yanga,Sead Ramovic amesema mashabiki wanamuita 'German Machine' lakini yeye...

Latest articles

Bwege afariki dunia

Na Mwandishi Wetu MBUNGE wa zamani wa Jimbo la Kilwa Kusini, Mkoani Lindi, Selemani Bungara...

Ripoti ya CAG yaibua mazito ujenzi wa uwanja wa AFCON Arusha

Na Mwandishi Wetu RIPOTI ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles...

Deni la Serikali lafikia trilioni 110, mikopo yatajwa

Na Mwandishi Wetu MDHIBITI na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), Charles Kichere, amesema...

ATCL yaendelea kuvuna hasara

Na Mwandishi Wetu RIPOTI ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG), imebaini kuwa Kampuni...